Kibundi wa getto
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 455
- 878
kama kawaida makamanda,watu wamejaa sana katika viwanja vya kashaulili.mbowe anasubiriwa kutua na chopa. Chopa ndo limefika yupo lema,mnyika na mbowe,watuwanashangilia sana.mbunge wa mpanda mjini kakimbia mkutano,sasa ni zamu ya mwenyekiti wa kanda kuhutubia,lema anashangiliwa sana.Lema kapanda jukwaani na anashangiliwa sana.Anaanza kwa kusema kuwa arusha hakuna ccm.anawashangaa watu wa mpanda kwa kuendelea kukumbatia chama cha majambazi.anasema kuhusu zitto,kadi yake ipo mahakamani.amemuona kijana aliyezuiliwa na zito kugombea ubunge jimbo la pinda.anasema zambi kubwa duniani ni uoga.Anasema kama uliingia chadema kwa kumfuata zitto basi ondoka nae mkaanzishe chama chenu.anasema yeye arusha ni raisi.anasema zitto alikodisha bodaboda ili zimpokee kigoma,na wala sio wanachama.Kapanda mnyika,anashangiliwa sana.anasema pinda ni mzigo,pinda jimboni kwake wananchi hawamtaki,ameshindwa kuwatimizia yale aliyowaidi.anazungumzua kuhusu arfi,alipopewa umakamo mwenyekiti akusema kuhusu ubaguzi.