Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,453
- 283,788
mkuu tena tuwekee zilele zile za mwaka 2010 kwenye uchaguzi mkuu.
utawekewa za leo leo halafu bomba kuliko hizo za 2010 ili ujinyonge vizuri , MBURULA MKUBWA WEE !
mkuu tena tuwekee zilele zile za mwaka 2010 kwenye uchaguzi mkuu.
mkuu hii OPD ni kiama cha ccm , hawana pa kutokea .
kama kawaida makamanda,watu wamejaa sana katika viwanja vya kashaulili.mbowe anasubiriwa kutua na chopa. Chopa ndo limefika yupo lema,mnyika na mbowe,watuwanashangilia sana.mbunge wa mpanda mjini kakimbia mkutano,sasa ni zamu ya mwenyekiti wa kanda kuhutubia,lema anashangiliwa sana.
Anamhutubia nani wakati wananchi wa mpada kawanyanyasia mbunge wao ni sawa na mtu anamroga mwanao halafu anakuja msibani kukupa pole huyu mtu hafai kabisa.
kama kawaida makamanda,watu wamejaa sana katika viwanja vya kashaulili.mbowe anasubiriwa kutua na chopa. Chopa ndo limefika yupo lema,mnyika na mbowe,watuwanashangilia sana.mbunge wa mpanda mjini kakimbia mkutano,sasa ni zamu ya mwenyekiti wa kanda kuhutubia,lema anashangiliwa sana.Lema kapanda jukwaani na anashangiliwa sana.Anaanza kwa kusema kuwa arusha hakuna ccm.anawashangaa watu wa mpanda kwa kuendelea kukumbatia chama cha majambazi.anasema kuhusu zitto,kadi yake ipo mahakamani.amemuona kijana aliyezuiliwa na zito kugombea ubunge jimbo la pinda.anasema zambi kubwa duniani ni uoga.Anasema kama uliingia chadema kwa kumfuata zitto basi ondoka nae mkaanzishe chama chenu.anasema yeye arusha ni raisi.anasema zitto alikodisha bodaboda ili zimpokee kigoma,na wala sio wanachama.Kapanda mnyika,anashangiliwa sana.anasema pinda ni mzigo,pinda jimboni kwake wananchi hawamtaki,ameshindwa kuwatimizia yale aliyowaidi.anazungumzua kuhusu arfi,alipopewa umakamo mwenyekiti akusema kuhusu ubaguzi.
Mmeshamuwezesha? kawatia hasara ya milioni ngapi vile kuihujumu chadema, bado tu mnataka kumpa pesa tena akaaibike, mtaingia hasara sana na huyo zitto wenu lakini mtashindwa.unaandika ubwabwa mwaka huu mtakimbiana tu ngoja zitto naye aanze mambo yake mtaisoma tu.
Anamhutubia nani wakati wananchi wa mpada kawanyanyasia mbunge wao ni sawa na mtu anamroga mwanao halafu anakuja msibani kukupa pole huyu mtu hafai kabisa.
unaandika ubwabwa mwaka huu mtakimbiana tu ngoja zitto naye aanze mambo yake mtaisoma tu.
camera imeharibika mkuuleta picha ccm watajinyongaaaaaaaaaa na kamasi wanafiki wakubwa...
Anamhutubia nani wakati wananchi wa mpada kawanyanyasia mbunge wao ni sawa na mtu anamroga mwanao halafu anakuja msibani kukupa pole huyu mtu hafai kabisa.
Asante sana wakazi wa kwetu Mpanda na viunga vyake kama kawajense, kasokola na katumba tuko pamoja kwa heshima yangu ndugu yenu wapokeeni wakombozi wa nchi...wakiongozwa na mkuu wa majeshi ya Anga kamanda Mbowe, natumai kesho watakuwa viwanja vya shule ya Msingi Kizwite au Ndua pale Sumbawanga mjini. M4C-Pamoja .......kama huwezi kuona shida itika Daima........kama kawaida makamanda,watu wamejaa sana katika viwanja vya kashaulili.mbowe anasubiriwa kutua na chopa. Chopa ndo limefika yupo lema,mnyika na mbowe,watuwanashangilia sana.mbunge wa mpanda mjini kakimbia mkutano,sasa ni zamu ya mwenyekiti wa kanda kuhutubia,lema anashangiliwa sana.Lema kapanda jukwaani na anashangiliwa sana.Anaanza kwa kusema kuwa arusha hakuna ccm.anawashangaa watu wa mpanda kwa kuendelea kukumbatia chama cha majambazi.anasema kuhusu zitto,kadi yake ipo mahakamani.amemuona kijana aliyezuiliwa na zito kugombea ubunge jimbo la pinda.anasema zambi kubwa duniani ni uoga.Anasema kama uliingia chadema kwa kumfuata zitto basi ondoka nae mkaanzishe chama chenu.anasema yeye arusha ni raisi.anasema zitto alikodisha bodaboda ili zimpokee kigoma,na wala sio wanachama.Kapanda mnyika,anashangiliwa sana.anasema pinda ni mzigo,pinda jimboni kwake wananchi hawamtaki,ameshindwa kuwatimizia yale aliyowaidi.anazungumzua kuhusu arfi,alipopewa umakamo mwenyekiti akusema kuhusu ubaguzi.
![]()
![]()
![]()
![]()
Masikini Dr Lilian Mtei.![]()
unaandika ubwabwa mwaka huu mtakimbiana tu ngoja zitto naye aanze mambo yake mtaisoma tu.