Live updates: MBEYA CITY vs MTIBWA SUGAR

Live updates: MBEYA CITY vs MTIBWA SUGAR

Saitot

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
613
Reaction score
152
Kama kawaida , tupeane taarifa za matokeo ya mechi zote za leo , leo mbeya sokoine mtibwa sugar atakuwa akipelekwa puta na Mbeya city , wapenzi wa Mbeya city twendeni tuipe sapoti timu yetu , najua wengi mtakuwa na hamu ya kuiona timu yenu na kuisapoti wapate matokeo mazuri . Mbeya city msiwaangushe mashabiki wenu.
 
Nipo njiani nakuja apo japo sjatupia uzi wa mbeya city timu yetu jiji letu
 
Nipo njiani nakuja apo japo sjatupia uzi wa mbeya city timu yetu jiji letu

Tafuta hata skafu au mzura wa Mbeya city, ndomyana karibu karibu tuwafunge haw mtibwa sukari!
 
sina hamu na Mbeya site tangu wauze mechi
 
Mbeya city mkicheza na nyie mnaleta foleni sana duuuu
 
Chakaza hao mtibwa sukari warudi kwao moro wakalime miwa
 
Hakuna tiketi zimeisha watu wapi njee ni hakuna linaloendelea
 
Mtapata uwanja ushatapika hapa daaaaah

Siku hizi jamii forum hakuna tofauti na facebook, zamani live updates hasa jukwaa la michezo zilikuwa zinarushwa kila dakika, siku hizi ni story tu wala hupati matokeo
 
Siku hizi jamii forum hakuna tofauti na facebook, zamani live updates hasa jukwaa la michezo zilikuwa zinarushwa kila dakika, siku hizi ni story tu wala hupati matokeo

Mechi ndo imeanza tunawapa na yanayojili dakika ya 3 bila bila
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom