MKUU JM huwezi kumlaumu hapo, kwa mpira waliocheza Atl hasa wa kipindi cha pili, timu yoyote duniani unayoijua ingekalishwa!
Dah! Ntuzu kalou na maChel$ki$ wenzao sijui wamejibanza wapi?View attachment 154967View attachment 154968View attachment 154969
Dah! Ntuzu kalou na maChel$ki$ wenzao sijui wamejibanza wapi?View attachment 154967View attachment 154968View attachment 154969
chelsea imeweka rekodi ya kuruhusu magoli mengi nyumbani kama bayen jana wote hawakustahli nusu fainali
Ntuzu atakuwa kwenye jukwaa la dini kajificha maana kule watu wengi hawana access nako.
Ntuzu atakuwa kwenye jukwaa la dini kajificha maana kule watu wengi hawana access nako.
Wakuu mi niko nimejaa tele!
Nimekubali Wakuu basi mbili zimepitiwa!
Aisee ATM wanastahili Ushindi wamejiandaa vzr!
Aisee ATM wanastahili Ushindi wamejiandaa vzr!