Live Updates: Azam & Simba Matches

Tukumbushane analysis hii hapa chini nilikuwa nimeiweka humu jamvini about a week ago. Nadhani sasa tunaelewana....

 
Yaani weekend hii imekuwa tamu sana kwangu mimi mwenzenu.....

Liverpool 5 Arsenal 1
Yanga 7 Wakomoro 0
Mgambo 1 Simba 0.

It can't get better than this, can it?

Mliofurahi kama mimi kwa matokeo hayo yote matatu tuungane kufurahi pamoja!!

Tuko identical twins katika hili!
 
Tatizo la mikia ni kelele nyingi, ile timu kwa mtu anayechambua mpira haina lolote. Bahati mbaya sana hata kocha wao sijui ameletwa kwa ajili ya Yanga mie sielewi manake kutwa kucha yeye anaongelea Yanga tu. Juzi wakati wnakwenda Mtibwa yeye akabaki Dar eti kuisoma Yanga, halafu anatamba eti dawa ya Yanga anayo, wakati anaenda kupambana na Mtibwa ni akili hiyo? Huyu amekwisha cheza na Yanga si bora Mholanzi ndo angekuwa anawahangaikia Simba manake hajacheza nao? dah! kipondo kingine mbeya, lazima mkalishwe tuuuuuuu!
 

Dondosha chozi bro
 

Kuna watu tulikuwa tiGO tukahamia Airtel kwa sababu ya mauzauza mengi, kwa nini wewe usihamie Yanga, Azam au hata Mbeya City; timu zinazofanya vizuri? Kwa nini uendelee kuumia kila siku. Ukiwa mbishi utaendelea kupata dhoruba. Kuna kipigo kingine cha nguvu kinawasubiri pale Mbeya, jifunge kiume usije ukaanguka.

Wasukuma tunasema 'kwibata' yaani unajifunga nguo (normally khanga) na kuipitisha katika mapaja yote ili kuhakikisha kuwa sehemu nyeti ziko salama, huku ukiwa kifua wazi ndipo uingie vitani. Mkuu Masuke mnatakiwa 'kwibata' kabla ya kukipiga na Mbeya City, vinginevyo MCC watagonga sehemu nyeti mapema na ndipo mtakapolegea na kutandikwa goli nyingi tu.
 
Mkuu ushabiki wa mpira ni kama kabila huwezi kubadilisha sana sana utaacha baadhi ya mila za kabila lenu lakini huwezi kufanya total change ya kabila na mpira ni hivyo hivyo, ushabiki utafifia tu kushabikia timu yako kutokana na uzembe wanaofanya lakini huwezi kuihama kabisa.
 

Sasa mjiandae 'kwibata' mnapokutana na Mbeya City.
 
tichaa said:
Many teacher have to work not only for many hrs but also for a very small salary.
By TIE (english bk2 pg8)
What is ua commen?



Sent from my GT-B5512 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…