WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Wakuu leo ni leo kwenye uwanja wa Taifa mechi kali kati ya Yanga na Mbeya City,hawa unaweza kuwaita wabishi wa ligi kuu bara!
Mbeya City tayari imejigamba kushinda mchezo huo na kwamba hamu yao kubwa ni kuikiza Yanga!
Ni maneni mazito sana kama si matusi ya Mbeya City kwa Yanga!
Mbeya City wanatoa wapi kiburi hiki?!
Nani yuko nyuma ya Mbeya Cty?!
Kutoka uwanja wa Taifa Makoye Matale Revocatus Kashaga, kama umeshatoka Tanga tafadhali sana Updates!
Na wenginei wote jipangeni vizuri kulet updates hapa kwa sbb leo ni Leo lazima akatwe mtu!
Mbeya City tayari imejigamba kushinda mchezo huo na kwamba hamu yao kubwa ni kuikiza Yanga!
Ni maneni mazito sana kama si matusi ya Mbeya City kwa Yanga!
Mbeya City wanatoa wapi kiburi hiki?!
Nani yuko nyuma ya Mbeya Cty?!
Kutoka uwanja wa Taifa Makoye Matale Revocatus Kashaga, kama umeshatoka Tanga tafadhali sana Updates!
Na wenginei wote jipangeni vizuri kulet updates hapa kwa sbb leo ni Leo lazima akatwe mtu!
Last edited by a moderator: