View attachment 118720
Dah! kweli simba wamechezewa. Asante azam. Mia
Si haba wacheji wamejituma. Hao ndo tuliosajili wajamen. At least naiona nafasi yetu ileeeeee ya 3 kama kawa!
halafu iweje sasa..
Msimu uliopita mlianza hivyo hivyo na msimu huu mmeanza kurudia yaleyaleacha kukariri
Kweli ni mmoja tu! Yulee ambaye rekodi yake ya kipigo alichotoa cha 5 -0 bado hakijalipwa!!Bwaa ha ha ha.
Tuongoze usukani
Leo Humud hajacheza sijui jumba bovu litamwangukia nani?