Ng'wanambula
Senior Member
- Oct 2, 2011
- 197
- 54
Ana haki ya kuhutubia Iringa mjini kila siku kwa sababu yeye ni mbunge wa Iringa mjini na siyo Iringa vijijini. Kama ataamua kwenda Iringa vijijini ni maamuzi yake au wa vijijini wamualike lkn halazimiki. Hiyo hoja yakuwa aende na vijijini haina mashiko