Live update mkutano wa CHADEMA Iringa Mjini

Live update mkutano wa CHADEMA Iringa Mjini

KUKU-DUME

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
474
Reaction score
196
kama kwaida leo kunamkutano wa chadema eneo la mwang'ingo kihesa mchungaji msigwa ambaye yupo karibu na wananchi hatua hangaiki kumtafuta kama wabunge wengine ata hutubia hapo nitaendelea kuwapa update....peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzzzzzzzzz....magamba lazima yahanye mwaka huu.
 
watu kwa kweli ni weng na wengine wanaingia kwa wingi.........kamanda NYALUSI...nazungumza kwa kukemea rushwa kwa kusema tunatakiwa kukemea rushwa ambayo imejengwa na viongozi waliopo madarakan na ndio maana maisha magumu.
 
mchungaji msigwa ndio kapanda jukwaan ana anza kuzungumza na wananchi.
 
watu kwa kweli ni weng na wengine wanaingia kwa wingi.........kamanda NYALUSI...nazungumza kwa kukemea rushwa kwa kusema tunatakiwa kukemea rushwa ambayo imejengwa na viongozi waliopo madarakan na ndio maana maisha magumu.

Huyo Kamanda Nyalusi ni yule wa Ifunda...ufafanuzi kamanda.
 
Msigwa Kuhutubia kila mara iringa mjini na uwanja huo huo na watu wale wale ni Insanity!

ndio ujue yupo tofaut na wabunge wengine wanao enda kukaa kwenye majimbo ya wenzao Mmfano daresalam.kukaa bila kuwatembelea wananchi walio wapigia kula.
 
na sisi mbeya kama kawaida mhe mbilinyi kwa sasa yupo jukwaani hapa uyole jana tulikuwa mwansekwa ni hakuna kulala
 
Hongera Msigwa kwa mapambano ya kuwaletea maendeleo wana Mbeya
 
Back
Top Bottom