Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

Live Update: Mapinduzi Cup 8/01/2015

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
  1. Mechi ya Kwanza Itapigwa Hivi Punde Kati ya KCCA na Polisi Zanzibar
  2. Mechi Kali ya Pili Itakua Kati ya Azam na Mtibwa Sugar
  3. Yanga na JKU iTapigwa Saa 2.15 Usiku


Stay Tuned with Mkolaji; Makoye Matale

HADI TUNAKWENDA MITAMBONI
images (3).jpg
 
Michezo ya Robo fainali mingine itafanyika tarehe 8-1-2015 kwa kuzikutanisha timu za KCC ya Uganda na Polisi jioni saa 9:00 na Saa 11:Jioni kutakuwa na mchezo kati ya Mtibwa na Azam na Usiku Saa 2:00 kutakuwa na mchezo wa Yanga na JKU michezo yote hiyo itafanyika uwanja Amaan.. -
See more at: JALADA LA MATUKIO
 
  1. Mechi ya Kwanza Itapigwa Hivi Punde Kati ya KCCA na Polisi Zanzibar
  2. Mechi Kali ya Pili Itakua Kati ya Azam na Mtibwa Sugar
  3. Yanga na JKU iTapigwa Saa 2.15 Usiku


Stay Tuned with Mkolaji; Makoye Matale

Naona mkuu Amavubi baada ya jana timu yako kufanya vizur leo umeamua kuja mapema mapema humu....usijali mkuu kila kitu kitaenda sawa hapa hapa jf.
 
sio mapema mechi saa tisa
Naona mkuu Amavubi baada ya jana timu yako kufanya vizur leo umeamua kuja mapema mapema humu....usijali mkuu kila kitu kitaenda sawa hapa hapa jf.
 
mechi ya KCCA na Polisi Haioneshwi LIVE
 
tutawaonesha kandambili na mikia jinsi muwa unavyoliwa.
 
Polisi zanzibar wametinga nusu fainali baada ya kuitoa kcc ya uganda, sasa watakutana na simba ya dar es salaam katika hatua ya nusu fainali.
 
Polisi zanzibar wametinga nusu fainali baada ya kuitoa kcc ya uganda, sasa watakutana na simba ya dar es salaam katika hatua ya nusu fainali.
Ni kwa matuta au dakika 90? Maana niliambiwa hadi dak. 75, ilikuwa bilabila!
 
Wakuu,mtupe na updates kati ya Azam na Mtibwa,huku kwetu Sitimbi wamechukua umeme wao.
 
Mpira unaanza hapa uwanja wa Amani, mtibwa 0-0 azam
 
Kwa jinsi nionavyo, hapa Yanga ni mshindi wa tatu, wa nne Polisi. Vijana wa Manungu wa pili. Kama sio basi ramba ramba watachukua nafasi ya Mtibwa.
 
Kwa jinsi nionavyo, hapa Yanga ni mshindi wa tatu, wa nne Polisi. Vijana wa Manungu wa pili. Kama sio basi ramba ramba watachukua nafasi ya Mtibwa.
wacha kuwarusha roho
 
Back
Top Bottom