Hizo si ndio zake huyo babu. Ya makontena ya silaha iliishia wapi?
Amesahau kuwa tTanzania nzima inaendeshwa na CCM? ananshangaza!
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ni Rais Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete kwa niaba ya CCM.
Asichkielewa au msicho kielewa ni nini? misukule basi hapo itaona kaongea kitu cha maana kumbe anawachezea ufahamu wao.