Live lectures toka AfroIT

Kilongwe

JF-Expert Member
Feb 7, 2008
423
115


Katika kepeleka gurudumu la maendeleo mbele,timu nzima ya AfroIT inatarajia kuanza kutoa lactures mbalimbali za fani kedekede live.Kwa kuanzia tutaanza na zile za ICT na Biashara(Economics,management,Leadership nk) bila gharama yoyote.Kwa siku za usoni kutegemeana na walimu tutatanua wigo kwa fani zaidi.


Hii itakuwa ni kama upo darasani ambapo washiriki wataweza kupata wasaa wa kuuliza maswali,kujibu maswali na mengineyo. Hauitaji programu yoyote zaidi ya internet,browser na microphone(ni muhimu kwakuwa ni dhahiri utataka kuuliza maswali kwakuwa mtindo wa kufundisha ni ule wa ushirikiano zaidi),au webcam(ni option kwa wasikilizaji na ni lazima kwa mtoaji somo(mwalimu).)

Ratiba ya vipindi na link ya kila kipindi inapatikana HAPA .

Kama unataka kushiriki kutoa somo basi usisite kuwasiliana na timu ya AfroIT kwa kutuma e mail kwenda podcast@afroit.com

Muhimu: Kwakuwa tumeanzisha programu mbili kwa pamoja,kuna uwezekano watu wakachanganya ipi ni ipi,Webcast inapatikana kwa wiki mara moja tena kwa idadi maalum ya washiriki ambao wanahitajika kujiandhikisha kwa kutuma e mail kwenda podcast@afroit.com,ndani ya webcast washiriki mbalimbali watakuwa wanajadili hoja husika Live toka pande mbalimbali za dunia,ila Live lactures itakuwa kila siku ambapo kutakuwa na mtoaji somo(mkufunzi) na wengine wote ni wasikilizaji(wanafunzi) ambapo hakuna haja ya kujiandikisha,ingawa kutokana na sababu za kiufanisi na kiuchumi kutakuwa na limit ya namba ya washiriki hivyo wakwanza kuingia ndiye atapata nafasi(FIFS),kila darasa halizidi watu 20.
Tunahamasisha wanajamii mbalimbali kushiriki kutoa masomo kwa jamii.
 
Ili kushiriki Bofya HAPA , Nickname ni yoyote,huitaji kuingiza password. We weka Nickname then ingia. Utahitajika kuinstall addon.Kama unapata utata wowote basi nenda AfroIT Forums kwenye hili jukwaa husika lenye ratiba na maelekezo ya kina yakifafanua kwa undani kabisa.

Tunatarajia ushiriki wenu ili kuleta maana zaidi.
 
Ni wengi wetu tumekuwa tukitamani kutengeneza tovuti,iwe ni kwa ajili ya kibiashara au biinafsi.Ingawa siku hizi suala la kutengeneza website limekuwa rahisi zaidi kutokana na kuwepo kwa programu na CMS nyingi,ila msingi ni muhimu ili kuweza kutumia hizo programu na cms kwa ufanisi zaidi. Hivyo ungana na timu ya AfroIT kila Jumanne na Jumamosi saa kumi kamili ya Tanzania kwenye mafundhisho hayo ya hatua kwa hatua tena yakiwa live,kama upo darasani vile.Unapata wasaa wa kuuliza na kuchangia.

Mtoa mada: Mkata Nyoni(hatua ya kwanza)

Muda: Kila jumanne na Alhamisi,saa kumi jioni,1600hrs(kwa saa za afrika ya mashariki)

Link: Hapa

Idadi ya wanafuunzi:10

Level: Kwa wanaojua kutumia browser na internet kwa uchache wake

Ufafanuzi:Tembelea Hapa


Utaratibu wa mafundisho


Tutaanza mwanzo kabisa,tutatumia mtindo wa project ili kuhakikisha inakuwa na maana zaidi,sio kusoma tu halafu huoni kinachotokea.

Kwenye mafundisho haya ya moja kwa moja(Live),tutakuwa wote katika kutengeneza AfroIT Movie Store.Utaweza kujionea na kujifunza hatua baada ya hatua mbapo hadi unamaliza mafundisho,basi utaweza kutengeneza website yako ya kawaida.

Baada ya hapo,utajiunga na mkufunzi mwingine ambaye ataiendeleza AfroIT Movie Store kwa kuweka manjonjo na mididi zaidi(Advanced).

Katika hatua ya Mwisho(tatu) ndipo mutajiunga na wataalam ambao wataichukua website ya hatua ya pili na kuifanya kuwa dynamic ambapo kutakuwa na makundi mawili,moja ni wale wa PHP na lingine ni wale wa .NET.
 
Back
Top Bottom