kwani wananchi walichagua kiongozi au dikteta?Tumewatuma kutukana?
Hivi udikteta unaujua wewe au unausikia?kwani wananchi walichagua kiongozi au dikteta?
Kule kuna Tundu Lissu LLB, LLMUnajiuliza kwanini hawataki ijadiliwa bungeni?
Hapo ndio unaanza kupata hofu kuhusu nia njema yao!
Haha pambaf zako Unazungumzia dunia gani wewe unafikiri huu ni mwaka 1978 kipindi cha mwenzake Idd Amini badilika hamna mwenye uwezo wa kuifungia JF China wenyewe pamoja na kuwa juu kiteknolojia wameshindwa kufungia mitandao ya kijamii ndio watafuta kick wa Tz watewezaHivi udikteta unaujua wewe au unausikia?
Kama tungekua na dikteta hata hii JF isingekuwepo hapa kukuwezesha kuharisha humu
Fanya utafiti utagundua Magufuli ni laini kupitiliza.Tanzania hakuna upinzani kuna wapiga kelele tu na waropokaji
Masikitiko!mkuu unaamini tuna bunge? nalidharau bunge la nchi yetu
Sasa Live coverage ya Makinikia I&II,Ya jana na ya leo zina tija gani?Kwa sababu HAKUNA MTU HATA MMOJA ALIYEKAMATWA HADI SASA JUU YA REPORTS 2 ZA MWANZO.Too low
Bunge mubashara sio suluhisho la matatizo ya watanzania,mlizoea kuona maigizo na mapovu tu kwa sababu mlipenda kushindana kutoa mapovu bungeni
Baki kwenye hoja we gamba usitake kuhamisha magoliHivi udikteta unaujua wewe au unausikia?
Kama tungekua na dikteta hata hii JF isingekuwepo hapa kukuwezesha kuharisha humu
Fanya utafiti utagundua Magufuli ni laini kupitiliza.Tanzania hakuna upinzani kuna wapiga kelele tu na waropokaji
Kwani ulilzimishwa kuangalia?Sasa Live coverage ya Makinikia I&II,Ya jana na ya leo zina tija gani?Kwa sababu HAKUNA MTU HATA MMOJA ALIYEKAMATWA HADI SASA JUU YA REPORTS 2 ZA MWANZO.
Kama yupo Muandike hapa
May Allah bless Me and You
Na bado wanataka tuamini wana nia thabiti ya kupambana na wabadhirifuJana tumeona matangazo mubashara ya kamati za bunge kuhusu madini ya almasi na Tanzanite.
Kamati ya bunge imewasilisha kwa Waziri Mkuu ambaye naye leo tena itakuwa mubashara wakati wa kuwasilishwa kwa Mkuu.
Bahati mbaya ripoti hii haikujadiliwa ndani ya bunge ambapo tungepata michango ya wabunge wetu.
Bunge mubashara hakuna lakini mawasilisho ya kamati yanafanyika mubashara,tumekosea!!!
Soma uelewe,Kwani ulilzimishwa kuangalia?
Wewe kwako yupi wa kumsikiliza zaidi, ni mbunge ambaye naye ameletewa report kama wewe au wanakamati waliofanya huo utafiti?Jana tumeona matangazo mubashara ya kamati za bunge kuhusu madini ya almasi na Tanzanite.
Kamati ya bunge imewasilisha kwa Waziri Mkuu ambaye naye leo tena itakuwa mubashara wakati wa kuwasilishwa kwa Mkuu.
Bahati mbaya ripoti hii haikujadiliwa ndani ya bunge ambapo tungepata michango ya wabunge wetu.
Bunge mubashara hakuna lakini mawasilisho ya kamati yanafanyika mubashara,tumekosea!!!
Ni kweli ni jambo lisiloeleweka kwa mbumbumbu kama wewe?Unajiuliza kwanini hawataki ijadiliwa bungeni?
Hapo ndio unaanza kupata hofu kuhusu nia njema yao!
Uwasilishaji wa report mubashara ndiyo suluhisho la matatizo??Too low
Bunge mubashara sio suluhisho la matatizo ya watanzania,mlizoea kuona maigizo na mapovu tu kwa sababu mlipenda kushindana kutoa mapovu bungeni
Bunge halina mamlaka yoyote kwa watuhumiwa kwenye kamati yaani bunge haliwatii hata mafua wote waliokutwa na madudu bila uamuzi wa Rais.Hawana nia njema, kuna watu wao humo ndani wanataka kuwabeba.