Live coverage ya kuumbuana

Live coverage ya kuumbuana

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,114
Reaction score
5,114
Jana tumeona matangazo mubashara ya kamati za bunge kuhusu madini ya almasi na Tanzanite.
Kamati ya bunge imewasilisha kwa Waziri Mkuu ambaye naye leo tena itakuwa mubashara wakati wa kuwasilishwa kwa Mkuu.
Bahati mbaya ripoti hii haikujadiliwa ndani ya bunge ambapo tungepata michango ya wabunge wetu.
Bunge mubashara hakuna lakini mawasilisho ya kamati yanafanyika mubashara,tumekosea!!!
 
Jana tumeona matangazo mubashara ya kamati za bunge kuhusu madini ya almasi na Tanzanite.
Kamati ya bunge imewasilisha kwa Waziri Mkuu ambaye naye leo tena itakuwa mubashara wakati wa kuwasilishwa kwa Mkuu.
Bahati mbaya ripoti hii haikujadiliwa ndani ya bunge ambapo tungepata michango ya wabunge wetu.
Bunge mubashara hakuna lakini mawasilisho ya kamati yanafanyika mubashara,tumekosea!!!
Mkuu wanatafuta sifa kwa njia nyepesi nyepesi
 
Jana tumeona matangazo mubashara ya kamati za bunge kuhusu madini ya almasi na Tanzanite.
Kamati ya bunge imewasilisha kwa Waziri Mkuu ambaye naye leo tena itakuwa mubashara wakati wa kuwasilishwa kwa Mkuu.
Bahati mbaya ripoti hii haikujadiliwa ndani ya bunge ambapo tungepata michango ya wabunge wetu.
Bunge mubashara hakuna lakini mawasilisho ya kamati yanafanyika mubashara,tumekosea!!!
Unafikiri ingejadiliwa ndani ya bunge kungekuwa na tija gani kama kumtaja tu aliyepewa donge la almasi bunge limeshindwa!!!
 
Too low
Bunge mubashara sio suluhisho la matatizo ya watanzania,mlizoea kuona maigizo na mapovu tu kwa sababu mlipenda kushindana kutoa mapovu bungeni
Suluhisho ni mawasilisho mubashara ya report ambayo imetoka ndani ya serikali hiyo hiyo,ya chama hicho hicho na watu hao hao,funny!!!
 
Jana tumeona matangazo mubashara ya kamati za bunge kuhusu madini ya almasi na Tanzanite.
Kamati ya bunge imewasilisha kwa Waziri Mkuu ambaye naye leo tena itakuwa mubashara wakati wa kuwasilishwa kwa Mkuu.
Bahati mbaya ripoti hii haikujadiliwa ndani ya bunge ambapo tungepata michango ya wabunge wetu.
Bunge mubashara hakuna lakini mawasilisho ya kamati yanafanyika mubashara,tumekosea!!!
Siwezi kupoteza muda wangu kuangalia upuuzi na usanii wa serikali
 
Nilidhani ilikuwa ni report ya Bungeni. Waijadili wao na kutoa mapendekezo/maazimio ndipo Rais apelekewe.
Sasa akipewa rasmi wakati huu, kuna haja gani tena kuijadili Bungeni?
Kwani zile zilikuwa Kamati au tume za Rais?
 
Unajiuliza kwanini hawataki ijadiliwa bungeni?

Hapo ndio unaanza kupata hofu kuhusu nia njema yao!

halafu wakijadili bungeni nini kitatokea zaidi ya maneno? EPA, escrow,lugumi, meremeta

Tatizo kubwa ni mnapenda sana kuongea, umbea, na vijiwe vya kahawa

Bunge la CCM hili, halina usafi wa kujitumbua lenyewe, hata wapinzani ni walewale tu

bora wapeleka kwa huyu ambaye angalau anaonekana kama sio wa kwao
 
Kwahiyo ripoti za tume ndio zinatakiwa kuwa mubashara ili dikteta amwage povu?
shughuli za Rais wa watanzania ni lazima watanzania wote tuone.
Nani anataka kumuona lema akimwaga matusi,au sugu akiwasha kipaza sauti akitukana
 
Hawana nia njema, kuna watu wao humo ndani wanataka kuwabeba.
Tungekuwa na nia njema haya tungeyamaliza mapema tu..

Ila haya ma "live wananchi mnaombwa kufuatilia" yanaleta wasiwasi..

Umuhimu wa "live" unaonekana sehemu hizo tu, ila kwenye bunge mara hatuna hela mara watu wafanye kazi!
 
shughuli za Rais wa watanzania ni lazima watanzania wote tuone.
Nani anataka kumuona lema akimwaga matusi,au sugu akiwasha kipaza sauti akitukana
Wabunge ndiyo wanatuwakilisha na ndio tumewatuma lakini dikteta hataki asemwe vibaya anataka asifiwe tuu
 
halafu wakijadili bungeni nini kitatokea zaidi ya maneno? EPA, escrow,lugumi, meremeta

Tatizo kubwa ni mnapenda sana kuongea, umbea, na vijiwe vya kahawa

Bunge la CCM hili, halina usafi wa kujitumbua lenyewe, hata wapinzani ni walewale tu

bora wapeleka kwa huyu ambaye angalau anaonekana kama sio wa kwao
Zile zilizopelekwa kwa rais nini kimetokea hadi sasa zaidi ya kutumbuana? Kuna hata mmoja muhusika amefilisiwa na kufungwa?
 
Jana tumeona matangazo mubashara ya kamati za bunge kuhusu madini ya almasi na Tanzanite.
Kamati ya bunge imewasilisha kwa Waziri Mkuu ambaye naye leo tena itakuwa mubashara wakati wa kuwasilishwa kwa Mkuu.
Bahati mbaya ripoti hii haikujadiliwa ndani ya bunge ambapo tungepata michango ya wabunge wetu.
Bunge mubashara hakuna lakini mawasilisho ya kamati yanafanyika mubashara,tumekosea!!!
Mara nyingi hizi kamati teule za spika wa Bunge huwa zinajadiliwa Bungeni hapa Anayejinasibu kwamba siyo Dhaifu kaonyesha udhaifu mkubwa sana
 
Back
Top Bottom