Jana tumeona matangazo mubashara ya kamati za bunge kuhusu madini ya almasi na Tanzanite.
Kamati ya bunge imewasilisha kwa Waziri Mkuu ambaye naye leo tena itakuwa mubashara wakati wa kuwasilishwa kwa Mkuu.
Bahati mbaya ripoti hii haikujadiliwa ndani ya bunge ambapo tungepata michango ya wabunge wetu.
Bunge mubashara hakuna lakini mawasilisho ya kamati yanafanyika mubashara,tumekosea!!!
Kamati ya bunge imewasilisha kwa Waziri Mkuu ambaye naye leo tena itakuwa mubashara wakati wa kuwasilishwa kwa Mkuu.
Bahati mbaya ripoti hii haikujadiliwa ndani ya bunge ambapo tungepata michango ya wabunge wetu.
Bunge mubashara hakuna lakini mawasilisho ya kamati yanafanyika mubashara,tumekosea!!!