Lithuania yawataka wanaotumia simu za kichina kuzitupa

Marekani anataka aaminishe watu kuwa ni tech giant, sawa Qualcomm wanakimbiza hilo halina ubishi. Wangewaacha huawei waendelee na 5g angefukia kampuni zote za marekani, kumbuka sababu ya Foxconn kufunga kiwanda marekani.
Future ya teknolojia ipo nje ya marekani.
Sababu kubwa wa China unaona wapo wametapaka sababu moja tu wao ni rahisi tu sio lingine.

Mfanol
Nakupa angalizo moja hili litakuwa lipo halisi
Angalia mradi wa MWENDO KASI tu utapata jibu angalia ule mradi waliojenga wale Wa Austria na huu ambao wanajenga wao CHINA utaona utafuti mkubwa sn.
 
Sababu kubwa wa China unaona wapo wametapaka sababu moja tu wao ni rahisi tu sio lingine.

Mfanol
Nakupa angalizo moja hili litakuwa lipo halisi
Angalia mradi wa MWENDO KASI tu utapata jibu angalia ule mradi waliojenga wale Wa Austria na huu ambao wanajenga wao CHINA utaona utafuti mkubwa sn.
Hiyo point . Lakini kumbuka wanakuhudumia kutokana na uwezo wako. Kiuhalisia haitawezekana kwa nchi zetu kumudu bidhaa za America au Europe.
 
Hiyo point . Lakini kumbuka wanakuhudumia kutokana na uwezo wako. Kiuhalisia haitawezekana kwa nchi zetu kumudu bidhaa za America au Europe.
Hawa watu ndio walivyo wanamiradi ya hovyo tu hatu huko CHINA unajua kama huwafahamu wa China vizuri nenda China ndio utawajua hawa watu baado ni third world country.
 
Marekani anataka aaminishe watu kuwa ni tech giant, sawa Qualcomm wanakimbiza hilo halina ubishi. Wangewaacha huawei waendelee na 5g angefukia kampuni zote za marekani, kumbuka sababu ya Foxconn kufunga kiwanda marekani.
Future ya teknolojia ipo nje ya marekani.
Mkuu dunia ni kubwa sana ukanda mzima ule wa SCANDNAVIA, kuna Japan, Korea, na baadhi ya Nchi za Ulaya wapo vizuri sana Kitech, ila husikii popote sababu hawana media kubwa na vyombo vya propaganda.

Wote China na Marekani wana Uchumi mkubwa na wana hela za kutosha kuhakikisha muda wote ni wao tu ndio wanaongelewa kwenye vyombo vya habari.

Tishio la Huawei halikuwa sababu ya Technology zao bali walikuwa wakiuza vifaa kwa bei rahisi na kupata tenda nyingi, wote Marekani na China wapo busy Kuspy watu ndio maana ukaona Usa anampiga pini China ili adukue watu mwenyewe.

Angalia Simu za Huawei, Xiaomi, Oppo ama wachina wengine utaona asilimia kubwa si tech zao bali za watu wengine.

Hivyo mkuu si kweli kwamba Huawei ama China ama tech kali za Kutishia Marekani, bali ni interest nyengine ambazo haziwezi kutangazwa wazi wazi kwenye Vyombo vya habari.
 
Mkuu dunia ni kubwa sana ukanda mzima ule wa SCANDNAVIA, kuna Japan, Korea, na baadhi ya Nchi za Ulaya wapo vizuri sana Kitech, ila husikii popote sababu hawana media kubwa na vyombo vya propaganda.

Wote China na Marekani wana Uchumi mkubwa na wana hela za kutosha kuhakikisha muda wote ni wao tu ndio wanaongelewa kwenye vyombo vya habari.

Tishio la Huawei halikuwa sababu ya Technology zao bali walikuwa wakiuza vifaa kwa bei rahisi na kupata tenda nyingi, wote Marekani na China wapo busy Kuspy watu ndio maana ukaona Usa anampiga pini China ili adukue watu mwenyewe.

Angalia Simu za Huawei, Xiaomi, Oppo ama wachina wengine utaona asilimia kubwa si tech zao bali za watu wengine.

Hivyo mkuu si kweli kwamba Huawei ama China ama tech kali za Kutishia Marekani, bali ni interest nyengine ambazo haziwezi kutangazwa wazi wazi kwenye Vyombo vya habari.
Yaap huawei wangeachiwa wangezika baadhi ya brand za mmarekani.
Kibaya ni kwamba watu hawaelewi kuwa wamarekani Apple Google wana spy.
Marekani anataka awe super power kila sector.
 
Hiyo point . Lakini kumbuka wanakuhudumia kutokana na uwezo wako. Kiuhalisia haitawezekana kwa nchi zetu kumudu bidhaa za America au Europe.
Mkuu mimi nimekua kwetu, nimetumia feni moja, tv moja, jiko la umeme moja, fridge moja etc zamani ilikuwa unaunua kitu kimoja tu kinakaa miaka hata 10 ama zaidi. Muulize mzazi wako ama mhenga yoyote kwenu Redio za Mkulima, Tv za Hitachi ama Goldstar, simu za zamani kina Philips, Siemens, Nokia, battery za National na vyengine vingi.

Na bei utofauti sio kivile, unapata value kubwa kwa makampuni ya Ki Japan ama Ulaya.
 
Mkuu mimi nimekua kwetu, nimetumia feni moja, tv moja, jiko la umeme moja, fridge moja etc zamani ilikuwa unaunua kitu kimoja tu kinakaa miaka hata 10 ama zaidi. Muulize mzazi wako ama mhenga yoyote kwenu Redio za Mkulima, Tv za Hitachi ama Goldstar, simu za zamani kina Philips, Siemens, Nokia, battery za National na vyengine vingi.

Na bei utofauti sio kivile, unapata value kubwa kwa makampuni ya Ki Japan ama Ulaya.
Ndo mana ile kipindi unakuta wenye tv kijijini ni wawili, lakini mchina kafanya wenye hali ya chini wanamiliki TV na simu.
Tuwe honest, tukisema tuondoe bidhaa ya made in china tuagize ulaya na america ni wangapi wataweza kumiliki simu au TV?
Tukisema maduka yauze simu zenye ip68, premium materials je nani ataweza kumudu?

Angalia tu watu wanaotumia Samsung super smart, au Motorola made for America ni wangapi?
 
Ndo mana ile kipindi unakuta wenye tv kijijini ni wawili, lakini mchina kafanya wenye hali ya chini wanamiliki TV na simu.
Tuwe honest, tukisema tuondoe bidhaa ya made in china tuagize ulaya na america ni wangapi wataweza kumiliki simu au TV?
Tukisema maduka yauze simu zenye ip68, premium materials je nani ataweza kumudu?

Angalia tu watu wanaotumia Samsung super smart, au Motorola made for America ni wangapi?
Watu walikuwa hawa miliki tv si sababu ya uchina bali sheria za Nchi.

Tv za zamani chini ya laki 2 unapata, hata uki adjust inflation bado ni rahisi kwa Mtz ku Afford. Hata leo utofauti wa tv ya Kichina na brand kubwa ni mdogo sana ku make difference, unless unazungumzia luxury products.

Tafuta Hio familia masikini imenunua pasi mara ngapi? Unanunua pasi ya 20k ama 30k ikimaliza miaka 2 ushukuru Mungu, wakati OG labda 40k ama 50k ingekaa miaka 10.

Na simu isio ya China lazima iwe ip68? Kwani hamna simu ambazo sio za kichina za bei rahisi? Hakuna Samsung za bei rahisi? Zamani hakukuwa na simu za 30,000 brand mbalimbali duniani?
 
Watu walikuwa hawa miliki tv si sababu ya uchina bali sheria za Nchi.

Tv za zamani chini ya laki 2 unapata, hata uki adjust inflation bado ni rahisi kwa Mtz ku Afford. Hata leo utofauti wa tv ya Kichina na brand kubwa ni mdogo sana ku make difference, unless unazungumzia luxury products.

Tafuta Hio familia masikini imenunua pasi mara ngapi? Unanunua pasi ya 20k ama 30k ikimaliza miaka 2 ushukuru Mungu, wakati OG labda 40k ama 50k ingekaa miaka 10.

Na simu isio ya China lazima iwe ip68? Kwani hamna simu ambazo sio za kichina za bei rahisi? Hakuna Samsung za bei rahisi? Zamani hakukuwa na simu za 30,000 brand mbalimbali duniani?
Mkuu ni kweli ilikuwa elfu 30 lakini kipindi hyo ela ilikua ngumu kupatikana.
Ile kipindi mtu anadaiwa ada elfu 20 mwaka mzima anashindwa kulipa.
Pia ukiona bidhaa ya kichina haidumu jua ni ya bei rahisi.
Anyhow ni kila mtu ana mtazamo wake.
 
Kama hautengenezi simu kwenye viwanda vya kwako hauna jeuri ya kulalamika kudukuliwa.....
Miafrika sisi tupo tupo tu, wadukue wasidukue watajua wenyewe...
 
China ni Copy Cats
hua nashangaa mtu akija hapa kusema kua hiyo nchi eti mdo yenye tec ya hali ya juu wakati wao n wazee wa

Control C & Control V
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom