Senorita23
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 388
- 481
Huu ni upuuzi miezi mitatu mtoto anajifunza nini?ndani ya hyo miezi mitatu akalime,na hyo hyo akafanye mafunzo nilichoona hakuna cha maana zaidi ya kuongeza gharama za kuwalisha
kutafunwa ni uamuzi wa mtoto mwenyewe pamoja na kutokuwa wavumilivu wa sulubu za kambini, sema hata hivyo vitoto vya siku hizi vinapenda sana kutafunwa vingine vinatoka shule za girls vinakuwaga na nyege sana.Watoto wa kike hao JKT wanatafunwa sana na wenyeji wao....waangalie wasije kumaliza halafu wanaondoka na Ngoma.
naomba msaada wa kupata e-mail ya JKT maana kuna dogo hatopata uwezo wa kwenda Mafunzoni hivyo kaniomba nifanye alternative aweze kupost pone, kwa maana hiyo pia nsaidien nani tunamuandikia barua kwenye uongozi wa JKT makao makuu
Msaada plz,
Nawasilisha.
AsanteIngia website ya JKT utaona
Yote watafanya wala usiwe na wasiwasi kule siku moja ni sawa na wiki uraian .Huu ni upuuzi miezi mitatu mtoto anajifunza nini?ndani ya hyo miezi mitatu akalime,na hyo hyo akafanye mafunzo nilichoona hakuna cha maana zaidi ya kuongeza gharama za kuwalisha
Ninaongea nachokijua wala sio kuadithiwaYote watafanya wala usiwe na wasiwasi kule siku moja ni sawa na wiki uraian .
Huna unachokijua JKT ina impact kubwa sana kwenye maisha ya hao vijana iwe mbaya au nzuri madhara lazima yapo na wanataka kufanya mwaka mimi nashauri iwe miwili kama israel 🇮🇱Ninaongea nachokijua wala sio kuadithiwa
Nakushauri soma vizuri nilichoandika JKT naijua sana kuliko unavofikiria upo?labda ukinambia mwaka hapo naweza kukuelewa ila sio miezi mitatuHuna unachokijua JKT ina impact kubwa sana kwenye maisha ya hao vijana iwe mbaya au nzuri madhara lazima yapo na wanataka kufanya mwaka mimi nashauri iwe miwili kama israel
Civilization ya israel is way far advanced kuliko ya kwetu !kinachowafaa wao sio lazima sana kitufae sisi ,haya makambi wawapeleke vijana wakishamaliza vyuo kwa sasa wanawaonea na kusambaza ukimwi kutoka kwa hao hao wanajezhoHuna unachokijua JKT ina impact kubwa sana kwenye maisha ya hao vijana iwe mbaya au nzuri madhara lazima yapo na wanataka kufanya mwaka mimi nashauri iwe miwili kama israel