List ya shule za bweni zenye ada nafuu Tanzania

Wizvee

Senior Member
Mar 5, 2015
106
44
Wakuu naomba msaada kwa mwenye ujuzi na hili, naulizia Shule ya bweni yenye ada nafuu sana, ambayo inapokea Risitors.,

Iwe ya Boys, au hata boys & Girls,
 
Njoo Merriwa high school, Dodoma mjini; Tanzania. Ni shule mchanganyiko; na ada ya bweni ni sh.1.2m.
 
Kahunda sekondari, ni shule ya bweni kwa wote waschana na wavulana. Ni shule ya private inayomilikiwa na kanisa la AICT, iko Sengerema-Mwanza. Ada yao ni 900,000/= iko kwenye mazingira mazuri ya kujifunzia. Karibu sana!
 
Wakuu naomba msaada kwa mwenye ujuzi na hili, naulizia Shule ya bweni yenye ada nafuu sana, ambayo inapokea Risitors.,

Iwe ya Boys, au hata boys & Girls,
bei nafuu ni kiasi gani...je nafuu yangu ni sawa na nafuu yako?!nadhani ungeweka range ya ada ambayo wewe unai-define kama nafuu!
 
Acacia Sec Vikuruti Kibaha Pwani.
Ada: 750,000/- p.a
Msosi: Mainly Sembe/beans.
Performance: Google NACTE to see the trend ...
 
Lubala secondary wana adv. na O level ada ni Ml 1.6 kwa art na Ml 1.8 kwa science ipo wilaya ya Rungwe maeneo ya Kiwira.
 
Kahunda sekondari, ni shule ya bweni kwa wote waschana na wavulana. Ni shule ya private inayomilikiwa na kanisa la AICT, iko Sengerema-Mwanza. Ada yao ni 900,000/= iko kwenye mazingira mazuri ya kujifunzia. Karibu sana!
naomba namba ya cm ya apo xkul au iyo ada pamoja na michango
 
Back
Top Bottom