Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,865
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA: Tundu Lissu amesema watatengeneza nchi huru na yenye haki. Nchi ambayo hakuna kiongozi atakayeogopwa kuliko Mungu.
Amesema kia mtu anahitaji haki na kila mtu anastahili kupata haki, awe askari mfanyabiashara, mkulima, mfugaji, mama lishe, bodaboda au kazi yoyote ile.
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni Bukombe mkoani Geita, ambako pia amewasisitiza wananchi wote kwenda kupiga kura Oktoba 28, 2020.
Amesema kia mtu anahitaji haki na kila mtu anastahili kupata haki, awe askari mfanyabiashara, mkulima, mfugaji, mama lishe, bodaboda au kazi yoyote ile.
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni Bukombe mkoani Geita, ambako pia amewasisitiza wananchi wote kwenda kupiga kura Oktoba 28, 2020.