ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,410
- 3,799
Ni amani ipi inayochezewa?chadema ACHENI KUCHEZA NA AMANI YA NCHI MNAJIDHALILISHA KWA KWELI
Mbona mnashindwa kujibu hoja zao?
Ni amani ipi inayochezewa?chadema ACHENI KUCHEZA NA AMANI YA NCHI MNAJIDHALILISHA KWA KWELI
Shida yao huwa ni mwaliko wa chai na sambusa tu, wakipata hiyo wanatuliaHawa Jamaa wanapenda sana attentions nyepesi nyepesi
wakiwa na Watawala wanacheka cheka hawaoneshi haya makali wanayoonesha wakiwa na wana vijiji huko Mikoan...
Ndio njia iliyompa Vyeo vyote alivyonavyo na utajiri wa kutishaHii mbinu aliwahi kuitumia Mwigulu Nchemba kule Arusha.
EeeenHeeeee!inanihusu si ndio sababu mimi na wewe tunajadili mambo hili ? au jambo kukuhusu kwako linatakiwa kuwa vipi? au unafikiri ruzuku za vyama vya Siasa ni kodi za Wanachama wao pekee ? pigania akili kabla ya Katiba mpya