Mtia nia kipenzi cha wengi yapo mengi yanayoashiria wazi kuwa "ni wewe 2020" kama hapatakuwa na zengwe.
Kuna wale wanaoijitanabaisha kuwa wamefanya mengi hasa kwenye miundo mbinu hali ni janja janja tu za kutafutia kura mijini.
Katika picha ni hali halisi ya barabara kuelekea rusumo kutokea rusahunga kama ambavyo iko kwa miaka mingi sasa. Inafahamika wazi kuwa bila ya ufanisi wa barabara kama hii bandari ya Dar ni kama mfu. Yaani marehemu kaburini.
Kodi lukuki serikali inachukua kupitia barabara hii na hata ingeweza kupata mapato zaidi, achilia mbali maafa wanayo wasababishia watumia barabara hii.
Waathirika wa barabara hii wakiwamo wakazi wa maeneo hayo, wenye magari, wasafiri na hasa wote wenye uelewa wa kuwapo kwa bandari Dar na umuhimu wake kiuchumi si kundi la kubeza.
Ziara ya mapema huko itakupa picha zaidi ya janja janja zao za kisiasa ndumila kuwili hawa.
Ikumbukwe hali imekuwa hivi hivi bila kushughulikiwa tangia miaka ya 2014 na hata kabla sana ya hapo.
Haya yakiendelea huko, makwetu kulikotukuka kwenye hata international airports pako hivi:
Chato kupo hivi. Je, hii ngozi haivutwi mno?
Wanasema Tanzania itakuwa kama ulaya. Lini kama hata kabla ya 2014 hauonekani umuhimu wa kuitumia bandari ya Dar kikamilifu kwa maslahi ya nchi? Labda ni kama kwa ule mwujiza uliomsabaratisha Corona virus.
Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?
Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo
Ukiwahi huko baadhi ya magari yaliyoanguka utayakuta kama yalivyo katika picha.
Hivi ni baadhi tu ya vishindo vya awamu ya tano.
Kuna wale wanaoijitanabaisha kuwa wamefanya mengi hasa kwenye miundo mbinu hali ni janja janja tu za kutafutia kura mijini.
Katika picha ni hali halisi ya barabara kuelekea rusumo kutokea rusahunga kama ambavyo iko kwa miaka mingi sasa. Inafahamika wazi kuwa bila ya ufanisi wa barabara kama hii bandari ya Dar ni kama mfu. Yaani marehemu kaburini.
Kodi lukuki serikali inachukua kupitia barabara hii na hata ingeweza kupata mapato zaidi, achilia mbali maafa wanayo wasababishia watumia barabara hii.
Waathirika wa barabara hii wakiwamo wakazi wa maeneo hayo, wenye magari, wasafiri na hasa wote wenye uelewa wa kuwapo kwa bandari Dar na umuhimu wake kiuchumi si kundi la kubeza.
Ziara ya mapema huko itakupa picha zaidi ya janja janja zao za kisiasa ndumila kuwili hawa.
Ikumbukwe hali imekuwa hivi hivi bila kushughulikiwa tangia miaka ya 2014 na hata kabla sana ya hapo.
Haya yakiendelea huko, makwetu kulikotukuka kwenye hata international airports pako hivi:
Chato kupo hivi. Je, hii ngozi haivutwi mno?
Wanasema Tanzania itakuwa kama ulaya. Lini kama hata kabla ya 2014 hauonekani umuhimu wa kuitumia bandari ya Dar kikamilifu kwa maslahi ya nchi? Labda ni kama kwa ule mwujiza uliomsabaratisha Corona virus.
Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?
Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo
Ukiwahi huko baadhi ya magari yaliyoanguka utayakuta kama yalivyo katika picha.
Hivi ni baadhi tu ya vishindo vya awamu ya tano.