Uchaguzi 2020 Lissu nimekusikiliza mwanzo mwisho ila haujasema kwanini tukuchague wewe na sio Magufuli

Dhumuni la mkutano hukulijua

Dada uchaguzi hakuna,ilitafutwa sababu ya maandamano kwa muda mrefu,na tayari ishapatikana

Kampeni ni maandamano matupu nationwide!

Hakuna kampeni,na kwa hili vyama vyote vya upinzani vimekubaliana maana ni at their best interest!

Maalim Zanzibar hasa Pemba ni Mungu,jana kaongea,na ile tone scared everybody...

Huwezi ondoa 100% ya wagombea wa Maalim Pemba wewe,ni receipt for disaster!

Wapinzani infact walitaka this to happen,and unfortunately it happened

Sababu imepatikana,na aliesababisha amejileta mwenyewe,kampeni ni inageuka ni kudai haki sio kura tena...hii fujo haishii leo

Trust me!
Hapo ndo mtafail.mosi hakuna mtu ataandamana.Serikali za mitaa mlifanya kosa kubwa sana kususia wagombea walipoenguliwa. Too sad wapinzani dhidi ya CCM hawana balls
 
Hapo ndo mtafail.mosi hakuna mtu ataandamana.Serikali za mitaa mlifanya kosa kubwa sana kususia wagombea walipoenguliwa. Too sad wapinzani dhidi ya CCM hawana balls
Anasema ataandamana .........ila anangoja watu wengine ndo wafanye hivyo kwa niaba yake
 
Hapo ndo mtafail.mosi hakuna mtu ataandamana.Serikali za mitaa mlifanya kosa kubwa sana kususia wagombea walipoenguliwa. Too sad wapinzani dhidi ya CCM hawana balls
Nani kakwambia?

Mnafeli kudhani hakuna watu wataandamana..mnafeli mno!

Fujo ni lazima....

Hakuna kampeni,kampeni zimegeuka ni za kudai haki sio kura!

Simple!
 
Nani kakwambia?

Mnafeli kudhani hakuna watu wataandamana..mnafeli mno!

Fujo ni lazima....

Hakuna kampeni,kampeni zimegeuka ni za kudai haki sio kura!

Simple!
Humu mtandaoni sawa. Naomba unitag picha/video mkiandamana.
 
Who cares what you say?

Unfortunately Tandale una ndugu zako wanakaa huko!

Wewe unakaa wapi?Masaki?No..Oysterbay?No

Sehemu ingine yeyote TZ wewe ni masikini....

Hukai hayo maeneo mawili with private house wewe ni masikini,huna mamlaka ya kumsema mwananchi wa Tandale!

Masikini wewe,just like the rest of us 60mil people in this banana republic!
Ndo hivo leta matusi ya tandale huku napoishi labda kidogo naweza nikasikitika sasa unaniletea vitusi vyepesi hivo na ngeli za ras simba hivo sie tumezoea kuvisikia kwenye tamthilia za kifilipino tu
 
mbona kwenye intro remarks kasema clearly kuwa leo hatasoma hotuba ya kampeni yenye sera / ilani?

kasema first things first - and the first things ni kuishiniliza NEC ihakikishe wagombea wote (ubunge na udiwani) walioenguliwa wanarejeshwa kwanza tena bila masharti yoyote.

kasema sasa hivi ni maandamano ya amani nchi nzima na ametaka uungwaji mkono wa jumuiya ya kimataifa.

Nape Nnauye Mwigulu Nchemba na wengine wote mliotangazwa kupita bila kupingwa futeni hizo sherehe zenu - hii ngoma bado mbichi kabisaa!!
Maandamano yanaanza lini?
Maana tangu jana naona kuko kimya kabisa!
Au ni kama yale ya Mange?
 
Mm nafikiri hujasikia vizuri, ni kwamba Leo ilani haijazinduliwa sababu ya kuweka sawa suala la wagombea walioenguliwa
Kiswahili ni kirahisi mno
Kwani hujamsikia mwenyekiti akisema wanabadili ratiba kwa leo ili kuongelea mstakabali mzima wa uchaguzi na enguaengua ya wapinzani?
Kama hivyo tutaelewana,ajikite kwenye sera aache masuala ya yeye kushambuliwa
 
Nani kakwambia mzee..?

Naona umegeuka mganga?

Sio vizuri kuvamia fani za watu kufanya tabiri mbalimbali....

Kama ni mganga ni bora tukajua tukakuweka kwenye group hilo rightfully!
Vipi matusi ya kwa mabeberu yamekuisha?? Au dikshenari imesha eksipaya
 
Lissu bwana tunajua wewe ulipigwa risasi, asante Mungu umepona.

Sasa tunakuomba usitumie muda wako wa kampeini kuongelea tu yaliyokupata miaka mitatu iliyopita.

Tuambie utafanya nini endapo utakuwa Rais, tuambie kwa nini wewe na si Magufuli tena.

Binafsi leo nilitegemea kusikia madini ni nini utaifanyia Tanzania/ Watanzania ambapo Magufuli kafail.

Ninakuomba umwage sera na siyo historia ya yaliyotokea.
Victoire unajua huwa nakuona wa maana. Amesema anashughulikia engua hii ya kuhuni kwanza. Subiri atasema mbona musa bado. Usinuidhi
 
Victoire unajua huwa nakuona wa maana. Amesema anashughulikia engua hii ya kuhuni kwanza. Subiri atasema mbona musa bado. Usinuidhi
Hii Engua wala hawatawin na itawapotezea kweli uelekeo. Wajikite kwenye sera zao. Maana kama kweli form zimekosewa kujazwa hapo watapata nini ?Halafu huku Bara unategemea mtu aandamane kweli ?Serikali za mitaa ndo mlitakiwa muonyeshe funzo. Ila ndo hivyo mkasusia Uchaguzi.
 
Hii Engua wala hawatawin na itawapotezea kweli uelekeo. Wajikite kwenye sera zao. Maana kama kweli form zimekosewa kujazwa hapo watapata nini ?Halafu huku Bara unategemea mtu aandamane kweli ?Serikali za mitaa ndo mlitakiwa muonyeshe funzo. Ila ndo hivyo mkasusia Uchaguzi.
Hazijakosewa katu. Ni uhuni! Ukweli utaupata maana walioenguliwa wana copies!
 
Magufuli ndio ataongea nini?

Mtu hajui hata kusoma,we will see vitu vya ajabu sana aiseee

Magufuli hauziki hata umsaidie vipi!

Hapo ndio hua sometimes nadhanigi mungu yupo,japo siamini mambo ya mungu kabisa!

Maana haiwezekani mtu anakua kwenye ground level namna hii

Lissu lazima atoe mtu ngeu aisee

I see,huu uchaguzi Magufuli ni beatable kabisa....na kimiujiza kuna blunders mtafanya na Magufuli unfortunately kura zisitoshe...

I see this coming maana ccm majinga yamekua promoted to the highest levels,wenye akili wapo suppressed!

CCM will kill itself up..self destruct!
Rejea majimbo 18 CCM umepita bila kupingwa...anzia hapo kufanya analysis jomba
 
Back
Top Bottom