Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 2,502
- 7,612
Mkuu, ni huzuni sana.Naomba kujua Samia na Lissu walipata division ngapi form four?
Na uhakika 💯, mama amezungukwa na vilaza wanaomshauri, yaani hii move ya kumfunga Lissu Jela ilikuwa wazi kabisa unamuinua kisiasa, na imeonesha jamaa ana hatarisha maslai yao, hivyo akitoka Jela atakachokuwa anaongea basi kitabebwa kwa uzito na umma wa Watanzania. The biggest political mistakeHuyu jamaa anawahangaisha sana CCM,
Amekula chuma nusu kufa
Amepigwa kesi ya uhaini
Anaongea ukweli bila kupepesa macho
Haogopi kitu chochote na yupo tayari kwa lolote muda wowote
Kikwete amewahi kusema bora Slaa awe rais kuliko Lissu kukalia kiti cha ubunge
Huyu jamaa siku akihukumiwa kunyongwa ndio itakua siku ya mageuzi ya Tanzania..
Ni mawazo tu.
1. Ujinga wa watanzania wengi.
Tundu Lissu ni Ilboru moja! Tena Ilboru ile ya zamani! Hakika huyu jamaa ana akili nyingi sana.Naomba kujua Samia na Lissu walipata division ngapi form four?
viongozi wa dini watakuambia tutunze amani, kana kwamba mabadiliko yakitokea amani itaondoka. Amani ipo na itaendelea kuwepo hata yakitokea mabadilikoMatatizo ya Tanzania kwasasa ninayoyaona yanayochelewesha kuiondoa ccm ni haya.
1. Ujinga wa watanzania wengi.
2.Vyombo vya Dola.
3. Unafiki wa viongozi wa dini.
Lkn huyu bibi alisoma Mchambawima primary school kisha akaenda Mwembe-Mchomeke secondary school ambako aliangukia pua form 4. Baasi!Tundu Lissu ni Ilboru moja! Tena Ilboru ile ya zamani! Hakika huyu jamaa ana akili nyingi sana.
Mbona nasikia amesoma mpaka Manchester United!Lkn huyu bibi alisoma Mchambawima primary school kisha akaenda Mwembe-Mchomeke secondary school ambako aliangukia pua form 4. Baasi!
Mkuu umesema ukweli, na hata mpangilio ulivyouweka ni sahihi asilimia 100Matatizo ya Tanzania kwasasa ninayoyaona yanayochelewesha kuiondoa ccm ni haya.
1. Ujinga wa watanzania wengi.
2.Vyombo vya Dola.
3. Unafiki wa viongozi wa dini.
Thubutu yake! Hayo ni machawa tu yameandika kumpamba mama yaoMbona nasikia amesoma mpaka Manchester United!
Mmoja alienda special school mwingine alienda kusoma cheti. Sasa figure it out mwenyewe.Naomba kujua Samia na Lissu walipata division ngapi form four?
HahaMmoja alienda special school mwingine alienda kusoma cheti. Sasa figure it out mwenyewe.
Kwa kweliMkuu umesema ukweli, na hata mpangilio ulivyouweka ni sahihi asilimia 100
Lissu Athipas Mugwahi Lissu Muujiza unaoishi sometime unatikwa uamini Mungu yupo ile ilikua ni Vita mtu kupigwa risasi kumi 16 upone alafu Uendeleze harakati Sio roho ya KawaidaHuyu jamaa anawahangaisha sana CCM. Amekula chuma nusu kufa,
Amepigwa kesi ya uhaini,
Anaongea ukweli bila kupepesa macho.
Haogopi kitu chochote na yupo tayari kwa lolote muda wowote,
Kikwete amewahi kusema bora Slaa awe rais kuliko Lissu kukalia kiti cha ubunge.
Huyu jamaa siku akihukumiwa kunyongwa ndio itakua siku ya mageuzi ya Tanzania.
Ni mawazo tu.