Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 2,258
- 6,694
Huyu jamaa anawahangaisha sana CCM. Amekula chuma nusu kufa,
Amepigwa kesi ya uhaini,
Anaongea ukweli bila kupepesa macho.
Haogopi kitu chochote na yupo tayari kwa lolote muda wowote,
Kikwete amewahi kusema bora Slaa awe rais kuliko Lissu kukalia kiti cha ubunge.
Huyu jamaa siku akihukumiwa kunyongwa ndio itakua siku ya mageuzi ya Tanzania.
Ni mawazo tu.
Amepigwa kesi ya uhaini,
Anaongea ukweli bila kupepesa macho.
Haogopi kitu chochote na yupo tayari kwa lolote muda wowote,
Kikwete amewahi kusema bora Slaa awe rais kuliko Lissu kukalia kiti cha ubunge.
Huyu jamaa siku akihukumiwa kunyongwa ndio itakua siku ya mageuzi ya Tanzania.
Ni mawazo tu.