Lissu ndani ya Lizaboni Songea

Lissu ndani ya Lizaboni Songea

Anakili kuwa CCM bado inanguvu sana na anasema ni vyema tukajua ukweli ili tuweze kuwashinda vilevile CCM ni dhaifu sana ina nguvu kwakuwa kuishinda lazima utumie nguvu ya ziada nguvu tao ipo 1 kwenye uchaguzi usishindane nao kwa hela kwakuwa wanahela ajabu wana hela za serikari wana hela za wafanyabiashara na hela za wizi. pia wanahela za wafanyabiashara wakubwa wasiolipa kodi. wakati wa uchaguzi usijaribu mchezo wa fedha kwani wao wanapesa si mchezo nguvu ya pili ni mtandao wao wana ofisi nchi nzima. unapoenda kwenye uchaguzi lazima ujue mtandao ni nguvu na tatu ni jina CCM jina tu CCM ukisema tu jina hilo CCM linafahamika hivy rahisi wao kufahamika nne mfumo mzima wa kiserikari ni wakiccm tano tume ya uchaguzi kwa kiasi kikubwa wako upande wa ccm je utapata haki hapo. CCM bado ina nguvu usiipuuze ukiipuza umekwisha. Udhaifu wao ccm ni kwamba CCM wameharibu nchi hii poote hakuna wasipoharibu hivyo rekodi yao chafu inajulikana kote nchini ukitaka kushinda waambie wannchi ukweli ilia wananchi waelewe waambie wananch kuwa CHADEMA hakuna hela ila wana HAKI. hivyo ni vyema waanze maandalizi mapema fanyeni mikutano marakwamara. jiandaeni mapema kwa uchaguzi ili rafiki ajulikane na adui poa
 
Duh aka ka galax kanaisha chaji naona anamalizia ngoja nistop isije nkakosa mawasiliano
 
Anamalizia kuwa sehemu ya makumbusho ya akina songea sasa kuna uzwa bia amewasihi wanasongea kupaheshimu hapo kwakuwa ni mahali pa kuheshimiwa lakini kuuza bia mahali hapo si jambo la heshima kabisa hii imenigusa watu waliokufa kwa ajili ya songea watu wanauza bia mahali hapo.
 
Lissu nampenda sana sababu anasema mambo kwa uhalisia kuliko magamba yanadanganya wananchi hata mambo yaliyo waz
 
Lissu ni balaa kwa magamba, nimefurahi kitendo cha lissu kwenda songea chrismas hii. Mungu amlinde na ambariki. Tunawashukuru pia makamanda walio songea kwa kutujuza!
 
Anasema matumizi mengi ya serikari hayajulikani kwakuwa CCM ni chama cha walaji je ukila na kipofu unamshika mkono anasema CCM haina maslai na wananchi kila siku wanasema fedha hazitoshi . Anarudia kuhusu michango hakubaliani na kuwa serikari kuwa haina hela anatoa taarifa ambazo zinathibisha ukweli wa anayoyasema kuwa kuna mahela mengi yanapoteapotea tu anatoa taarifa ya CAG inayohusu fedha zilizotengwa na bunge juu ya fedha za maendeleo anasema mwaka 207/08 bill 99.14 hazikutumika hii inaonyesha kila mkoa haukutmia sh 4.2. mwaka200v bil88.72 hazikutumika pia hizi si pesa kidogo fikilia zingejenga zahanati ngapi zingepunguza umaskini wetu kiasi gani. Je hizi hela zilirudishwa hazina na akina CCM. hizi ni za miaka miwili tu je hhuko nyuma. Anasema kila mbunge unapofika wakati wa bajeti bajeti ya kwanza ni ya wizara ya fedha inayofuata ni ya Waziri mkuu. na wabunge wote wanapewa pamoja na hotuba majedwali ya fedha. Anaelezea juu ya fedha za kuendeshea mashule mengine ameacha naona hili labda lionamwelekeo na watu wa hapa. anasema capitation grant kwa mwaka huu kila mwanafunzi sh elfukumi hupelekwa shuleni kila robo ya mwaka anasema hakuna hela zinaliwa kama pesa za capitation anasema ule mgawanyo wa 40%vitabu20% ukarabati20% utawala 10% mitihani 10% stationary. watu wanshangilia kumbe swala la siri ndo linaanzia hapa. duh madiwani hawaujui mgawanyo wa fedha hizi wameumbuka!!!
ni kweli na inasadikika hela za captation haziendi kwa wakati mashuleni ingawa bunge hupitisha fedha hizo! Mungu amlinde kamanda lissu!
 
Back
Top Bottom