Lissu ndani ya Lizaboni Songea

Lissu ndani ya Lizaboni Songea

ligendayika

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
1,183
Reaction score
199
Nipo hapa lizaboni nafuatilia mikutano wa Mh Lissu. Nitawapa updates make Lisu bado hajatokea uwanjani.
 

Attachments

  • 2012-12-30 16.46.31.jpg
    2012-12-30 16.46.31.jpg
    349.7 KB · Views: 183
Katibu wa lizaboni vijana anasema je kuna mtoto wa nyerere kawahi kupata uongozi enzi za julius Mwenyekiti wa akina mama kata ya Lizaboni anasema wanawake na maendeleo tukiamua kuikataa CCM tunaweza anasema Diwani wa kata hii amechaguliwa mwezi wa nne wanasema hajafanya kazi vipi hawa walioongoza miaka 51 wamefanya nini.
 
Mzee wa zamani alieipokea CCM mzee Mbarika na kuipa CCM ofisi nyumbani kwake anasema amefanya utafiti na kujua kuwa CCM si chaama cha kusaidia watu hivyo viongozi wenye moyo wapo chadema na CCM ina viongozi wenye meno.
 
Shuhuda mmoja anasema CCM sasa omeishiwa mipango zaidi ya kuunda vikundi vya kupiga watu na ikibidi kuua anamtaja aliempiga baada ya uchaguzi wa CHADEMA. watu wanazidi kuongezeka hapa uwanjani. Anasema CCM waache kuzusha chuki dhidi ya CHADEMA na waache propaganda
 
Anazumgumza Diwani wa Lizaboni mr Mulongo anazungumzia swala la maendeleo kwa fedha za maendeleo alizozikuta. miradi mitatu ameikamilisha ya kuezeka madarasa ya madizini,ujenzi wa hostel lilondo sec na matundu ya vyoo shule ya msingi kibulang'oma
 
Idadi ya watu inaongezeka wanalizaboni wanonyesha kuamka hapa akina mama wanashangilia wanaimba kwa furaha hawa akina mama ni majasili kweli watu wameanza kuelewa
 
Idadi ya watu inaongezeka wanalizaboni wanonyesha kuamka hapa akina mama wanashangilia wanaimba kwa furaha hawa akina mama ni majasili kweli watu wameanza kuelewa
Sio kwamba wameanza kuelewa bali wameanza kuachana na uoga na hofu
 
Katibu wa CHADEMA wa wilaya anasema anaanza na shairi huyu anaitwa Andanenga wa Songea.
 
Mwenyekiti wa mkoa CHADEMA ambae pia ni diwani wa kata ya mjini anazungumza ili kumkaribisha mh Lissu. Lissu anapanda jukwaani ngoja tuone nini kitaendelea au atarudia yale ya Matalawe na Bombambili Anasema hapa lizaboni ni nyumbani kwakuwa inafahamu namna ya kuishinda CCM hivyo ni hapa Lizaboni . Anasema siku zote hatufanyi haki tunaposhinda uchaguzi inatakiwa kukaa na kutafakari kwa nini tumeshinda vilevile tukishindwa ni vizuri tukaka na kutafakari.
 
Lissu Karibu home, pabomani hapo Numbii bombiii timua magamba wote hao wametusababishia umasikini miaka yote 50 ya uhuru. Hebu ona Songea ni among the big 4 inayolisha nchii hii lkn maendeleo hakuna. sasa wana songea tunataka mabadiriko! Peopleesssssssssssssssssssssssssssssssss!!!!
 
anasema hakika alikuja kuoumzika lakini ameshindwa kwakuwa wananchi wa Songea walimtaka afanye mikutano kwani watu wanachama wanataka kuongea na Jemne hili. Anatoa wasia kwa madiwani anasema juu ya diwani aliejitoa wa kata moja huko kwao anasema amepewa shil 20mil ili aondoke CHADEMA sasa tunahitaji kuwafuatilia madiwani wetu ili tujue mienendo yao ili wasije wakahujumiwa kama huyu wa kwao. Tuhakikishe kuwa hakuna Yuda iskarioti ndani ya chadema. Anazungumzia mfumo wa utawala ambapo anasema kuna fedha nyingi zinatengwa kwa ajili ya maendeleo ya wananchi elimu nyumba za walimu zinaenda ktk halmashauri ya songea. Anasema madiwani wanatakiwa kusimamia fedha hizo anasema madiwani wasifanye siri kwa yale yanayofanywa ktk mbarazi isiwe siri madiwani wahakikishe wananchi wanajua fedha hizi na bajeti ya songea m ni bilioni 23. 16 matumizi ya kawaida na Bilioni 7 miradi ya maendeleo. Madiwani wote wa chadema wanatakiwa kusimamia matumizi sahihi ya fedha hizo na wajue mgawo ambao diwani . Kusiwe na siri kati ya viongozi na wananchi kwani siri ni mwanzo wa wizi. Diwani wa chadema anaeheshimu kuweka sori za maccm ni mwanzo wa ufisadi. madiwani mkipitisha tu bajeti wanachi wakifahamu kwakuwa ni wewe unaewawakilisha.
 
Anasema matumizi mengi ya serikari hayajulikani kwakuwa CCM ni chama cha walaji je ukila na kipofu unamshika mkono anasema CCM haina maslai na wananchi kila siku wanasema fedha hazitoshi . Anarudia kuhusu michango hakubaliani na kuwa serikari kuwa haina hela anatoa taarifa ambazo zinathibisha ukweli wa anayoyasema kuwa kuna mahela mengi yanapoteapotea tu anatoa taarifa ya CAG inayohusu fedha zilizotengwa na bunge juu ya fedha za maendeleo anasema mwaka 207/08 bill 99.14 hazikutumika hii inaonyesha kila mkoa haukutmia sh 4.2. mwaka200v bil88.72 hazikutumika pia hizi si pesa kidogo fikilia zingejenga zahanati ngapi zingepunguza umaskini wetu kiasi gani. Je hizi hela zilirudishwa hazina na akina CCM. hizi ni za miaka miwili tu je hhuko nyuma. Anasema kila mbunge unapofika wakati wa bajeti bajeti ya kwanza ni ya wizara ya fedha inayofuata ni ya Waziri mkuu. na wabunge wote wanapewa pamoja na hotuba majedwali ya fedha. Anaelezea juu ya fedha za kuendeshea mashule mengine ameacha naona hili labda lionamwelekeo na watu wa hapa. anasema capitation grant kwa mwaka huu kila mwanafunzi sh elfukumi hupelekwa shuleni kila robo ya mwaka anasema hakuna hela zinaliwa kama pesa za capitation anasema ule mgawanyo wa 40%vitabu20% ukarabati20% utawala 10% mitihani 10% stationary. watu wanshangilia kumbe swala la siri ndo linaanzia hapa. duh madiwani hawaujui mgawanyo wa fedha hizi wameumbuka!!!
 
Anasema siri haitakiwi kweli wajinga waliwao. fedha za eundeshaji za mashule ambazo hazikutumika bil 12.96 2009. mwaka 2009/2010 zilikua sh bil 19 mwaka anaendelea ameniacha kwa hiyo kwa miaka mitau pesa zib 45.9 biloni 45 kwa miaka mitano hazijatumika wamepeleka wapi. Nimekaa karibu na mzee mmoja anankataa watu wanamcheka anazungumzia ujenzi wa nyumba za walimu ambazo hazikutumia ni sh 4 2011 2. anaendelea lakini wazazi kila mahali wananchi wanachangishwa kila siku Anasema nchi inatawaliwa na wezi eti mjenga nchi ni mwananchi. Anawaambia madiwani kuwa siasa nzuri ni taarifa za ukweli za serikari tusiwe na siri. Anapendekeza nendeni kwenye vikao hakikisha hilo faili usikae nalo nyumbani njoo na faili waambie wananchi kusiwe na siri. hapo ndo tutaikomboa tabia ya ccm ya kufichficha mamba itawafanya watanzania kutotuamini. anamalizia na habari ya walimu anasema hakuna watumishi wanaodharauliwa lakioni ndo wamuhimu sana ni walimu mwaka huu maccm wamekuja na kauri wanasema deni la walimu ni Bil 1.9. anasema walimu walipotaka kugoma wakatishwa waksambalatika hawa walimu nao waoga nchi hii inahitaji mgomo mkubwa. anasema walimu wanaangahika wanakaa sehemu za ajabu kuna jamaa anacheka anauliza unacheka nini kwani mazuri kumbuka deni na fedha zisizotumika. sio kwamba hakuna hela isipokua mfumo umejengwa kiwiziwizi kila mwizi nchi hii hachukuliwi hatua na mfumo mzima ni wizi. Mwakajana anasema wakakamata wezi wakamuuliza posho ya kila polis kila mwezi ni sh lakimoja wakawauliza mbona polis mnawapa sh 50000 kila mwezi. wameanza mwaka jana laki.
 
anasema kila mtanzania amepigwa na ccm. baada ya miaka mitano wanakuja na kilemba tshirt na kitambaa unadanganywa. Tunanyonywa kwasababu tumipigika fikilia watu wangapi wamekufa kwa kukosa dawa fikilia watoto wangapi hawajasoma nenda polis umeibiwa umepigwa kama huna pesa mwizi wako hatashikwa jeshi la polisi si kulinda raia ni jeshi la kukodiwa kama huna hela hakuna haki nchi hii.
 
Back
Top Bottom