Unajua wakati mwengine hawa mawakili wanachekesha sana, kweli pale utasema kasukumwa au kaondolewa. tuache kuokoteza mambo yasiyo ya msingi.
Wakikili Dkt Nshala aache siasa, afanye kazi ya Uwakili, aheahimu taaluma yake, mambo ya kisiasa awaachie wenyewe.
Wamshauri mteja wao Lisu aache ukaidi akiwa mikononi mwa maafisa magereza, anapaswa kuheshimu amri za maafisa wa magereza sio kuleta jeuri.
Magereza wanafanya kazi zao kwa kufuata taratibu na sheria.
Wacheni kutapatapa, fuateni sheria zilizo wekwa. Lisu hayuko juu ya sheria yoyote ile, hivyo hana budi kutii taratibu za magereza, vinginevyo atakuja kuinuliwa mzobemzobe.
Hiyo clip inaonyesha baada ya shughuli za mahakama kwisha, Lisu bado aliendelea kungangania pale kizimbani, sasa ulitaka magereza wabaki wanamuangalia tu sio! huko ni kuwafundisha kazi yao Magereza.
Maafisa wetu wa Magereza ni miongoni mwa majeshi wanao fuata na kuheshimu sana taratibu labda uwe mkaidi.
Wakikili Dkt Nshala aache siasa, afanye kazi ya Uwakili, aheahimu taaluma yake, mambo ya kisiasa awaachie wenyewe.
Wamshauri mteja wao Lisu aache ukaidi akiwa mikononi mwa maafisa magereza, anapaswa kuheshimu amri za maafisa wa magereza sio kuleta jeuri.
Magereza wanafanya kazi zao kwa kufuata taratibu na sheria.
Wacheni kutapatapa, fuateni sheria zilizo wekwa. Lisu hayuko juu ya sheria yoyote ile, hivyo hana budi kutii taratibu za magereza, vinginevyo atakuja kuinuliwa mzobemzobe.
Hiyo clip inaonyesha baada ya shughuli za mahakama kwisha, Lisu bado aliendelea kungangania pale kizimbani, sasa ulitaka magereza wabaki wanamuangalia tu sio! huko ni kuwafundisha kazi yao Magereza.
Maafisa wetu wa Magereza ni miongoni mwa majeshi wanao fuata na kuheshimu sana taratibu labda uwe mkaidi.