Lissu kafanya kazi na utawala huu mwaka 1 na miezi 10 lakini yote aliyosema yametimia

Hakika Tundu Lissu ana maono. Utawala wa awamu ya tano amefanya nao kazi ndani ya bunge na nje kwa muda wa mwaka mmoja na miezi 10 tuu, lakini yale yote aliyokuwa anayasema kuhusu utawala huu na kiongozi mkuu sasa baada ya miaka minne kupita tumegundua hakuna hata moja alilokuwa anawasingizia na yametokea na kutokea.

Kuanzia udikteta uchwara, utawala bora, matumizi mabaya ya polisi, kuminya Uhuru wa bunge na mahakama na hata upendeleo wa kikanda.

Kulikuwa na kusudio la kumuua Lissu September 7, 2017 na sababu zinahisiwa kuwa za kisiasa kutokana na kusemea ukweli.

Je, kiongozi mwenye maono kiasi hiki na asiye na rekodi ya ufisadi huku akiheshimu sana sheria na kuitetea katiba hatutakuwa tunapoteza tumaini la taifa kama 2020 tutaacha fursa ya kumtumia kuirudisha nchi kwenye matumaini na furaha?
Andika vizuri. Unachokiwaza umishia kuandika robo yake na hata hakieleweki bado.
 
Hakika Tundu Lissu ana maono. Utawala wa awamu ya tano amefanya nao kazi ndani ya bunge na nje kwa muda wa mwaka mmoja na miezi 10 tuu, lakini yale yote aliyokuwa anayasema kuhusu utawala huu na kiongozi mkuu sasa baada ya miaka minne kupita tumegundua hakuna hata moja alilokuwa anawasingizia na yametokea na kutokea.

Kuanzia udikteta uchwara, utawala bora, matumizi mabaya ya polisi, kuminya Uhuru wa bunge na mahakama na hata upendeleo wa kikanda.

Kulikuwa na kusudio la kumuua Lissu September 7, 2017 na sababu zinahisiwa kuwa za kisiasa kutokana na kusemea ukweli.

Je, kiongozi mwenye maono kiasi hiki na asiye na rekodi ya ufisadi huku akiheshimu sana sheria na kuitetea katiba hatutakuwa tunapoteza tumaini la taifa kama 2020 tutaacha fursa ya kumtumia kuirudisha nchi kwenye matumaini na furaha?
Ukiona ajiitae msomi anaogopa challenge kukosolewa (debate) na hawezi jibu hoja kwa hoja zaidi ya risasi au kubambika ipo shaka kubwa sana juu ya usomi wake
 
Hakika Tundu Lissu ana maono. Utawala wa awamu ya tano amefanya nao kazi ndani ya bunge na nje kwa muda wa mwaka mmoja na miezi 10 tuu, lakini yale yote aliyokuwa anayasema kuhusu utawala huu na kiongozi mkuu sasa baada ya miaka minne kupita tumegundua hakuna hata moja alilokuwa anawasingizia na yametokea na kutokea.

Kuanzia udikteta uchwara, utawala bora, matumizi mabaya ya polisi, kuminya Uhuru wa bunge na mahakama na hata upendeleo wa kikanda.

Kulikuwa na kusudio la kumuua Lissu September 7, 2017 na sababu zinahisiwa kuwa za kisiasa kutokana na kusemea ukweli.

Je, kiongozi mwenye maono kiasi hiki na asiye na rekodi ya ufisadi huku akiheshimu sana sheria na kuitetea katiba hatutakuwa tunapoteza tumaini la taifa kama 2020 tutaacha fursa ya kumtumia kuirudisha nchi kwenye matumaini na furaha?
Hivi Lissu yuko wapi siku hizi?
 
Haswa anapaswa kuwa Rais wa nchi hii 2020,
Hakika Tundu Lissu ana maono. Utawala wa awamu ya tano amefanya nao kazi ndani ya bunge na nje kwa muda wa mwaka mmoja na miezi 10 tuu, lakini yale yote aliyokuwa anayasema kuhusu utawala huu na kiongozi mkuu sasa baada ya miaka minne kupita tumegundua hakuna hata moja alilokuwa anawasingizia na yametokea na kutokea.

Kuanzia udikteta uchwara, utawala bora, matumizi mabaya ya polisi, kuminya Uhuru wa bunge na mahakama na hata upendeleo wa kikanda.

Kulikuwa na kusudio la kumuua Lissu September 7, 2017 na sababu zinahisiwa kuwa za kisiasa kutokana na kusemea ukweli.

Je, kiongozi mwenye maono kiasi hiki na asiye na rekodi ya ufisadi huku akiheshimu sana sheria na kuitetea katiba hatutakuwa tunapoteza tumaini la taifa kama 2020 tutaacha fursa ya kumtumia kuirudisha nchi kwenye matumaini na furaha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF yasemwao ni mengi!!!!. .....Chumvi kinageuzwa Sukari .Na sukari inakua kama pili pili mbuzi
 
Hakika Tundu Lissu ana maono. Utawala wa awamu ya tano amefanya nao kazi ndani ya bunge na nje kwa muda wa mwaka mmoja na miezi 10 tuu, lakini yale yote aliyokuwa anayasema kuhusu utawala huu na kiongozi mkuu sasa baada ya miaka minne kupita tumegundua hakuna hata moja alilokuwa anawasingizia na yametokea na kutokea.

Kuanzia udikteta uchwara, utawala bora, matumizi mabaya ya polisi, kuminya Uhuru wa bunge na mahakama na hata upendeleo wa kikanda.

Kulikuwa na kusudio la kumuua Lissu September 7, 2017 na sababu zinahisiwa kuwa za kisiasa kutokana na kusemea ukweli.

Je, kiongozi mwenye maono kiasi hiki na asiye na rekodi ya ufisadi huku akiheshimu sana sheria na kuitetea katiba hatutakuwa tunapoteza tumaini la taifa kama 2020 tutaacha fursa ya kumtumia kuirudisha nchi kwenye matumaini na furaha?

Self interests siku Zote zinalimiti logical thinking. Umeongea kama mganga wa kienyeji.
 
Huyu jamaa kama kweli wasemavyo ikitokea akagombea binafsi naogopa sana inaweza kwa Mara ya kwanza kushuhudia mgogoro Wa ki siasa tz bara huyu namuona kama MTU Mwenye udhubutu uliopitiliza akawii kujitangaza mapema.hats kabla ya Tume

..ccm wanavyojitangaza huoni kama ni tatizo?

..kwa mfano walivyojitangaza ktk uchaguzi wa serikali za mitaa.

..au walivyojitangaza ktk uchaguzi mkuu wa Znz mwaka 2015.

..we have to be careful na vyama tawala. mara nyingi machafuko husababishwa na vyama tawala. unafahamu kwamba Interahamwe waliohusika na genocide ya Rwanda walikuwa umoja wa vijana wa chama tawala cha Rwanda cha wakati huo?
 
huyo lissu ni kichaa sawa tu na vichaa wa mirembe
Unrmsahau huyo Bosi wako ambaye aliutangazia Umma wa watanzania wakati akihutubia kule kanda ya ziwa, kuwa yeye anawateua vichaa wenzake kwenye "cabinet" yake!
 
Unrmsahau huyo Bosi wako ambaye aliutangazia Umma wa watanzania wakati akihutubia kule kanda ya ziwa, kuwa yeye anawateua vichaa wenzake kwenye "cabinet" yake!

Wao wanaichukulia ile kama kauli ya kawaida lakini ni kauli nzito sana.
Ile ni presidential declaration na ilipaswa ichukuliwe kwa uzito mkubwa na tiba kuanza mara moja.
Imagine nchi hii ingekuwa na silaha za nyuklia hali ingekuwaje? Tungedhibitiwa kama Korea kaskazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom