Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Umejibu kisomi nimependa lakin ukamalizia kiukuda, kila anayeanzisha uzi si kwamba anaamriwa aseme nini, pia nawe hukuwa na haja ya kucoment hapa kama uliona uzi huu hauna haja
 
Hahaa wewe mwenyewe unajua kuwa njama zote mmezinga nyinyi.

Hoja zake hamna uwezo WA kuzipangua mliamua kuzipangua kwa risasi. Lkn hata hivyo Mungu ni WA wote.
Mungu ni wa wote ndio so kwenda kwenye chombo kilichoundwa kutoa haki na Mungu atasimama huko serikali na ccm ihukumiwe kunyongwa hadi kufa.
 
Kizazi cha wadogo zetu ni kizazi ambacho hakijui substance ya maana ni ipi. Mtanzania kuiteka akili yake ni jambo dogo sana.

Unashangaa kusikia eti wachekeshaji na wao wanafungua makanisa na bado wanapata vichwa vingi tu.

Kabudi yupo juu sana, nimeiangalia hii clip ya bunge la sasa, jamaa anamwaga shule, kama vile mwalimu anaongea na wanafunzi.

Lissu ana tatizo la kushindwa kuitawala arrogance yake, hachelewi kuanza kupayuka, na hawezi kudhibiti hisia zake.
 

Alikuwa anajibu hii mada
 
Hahaha hahaha hahaha hahah
 
Umejibu kisomi nimependa lakin ukamalizia kiukuda, kila anayeanzisha uzi si kwamba anaamriwa aseme nini, pia nawe hukuwa na haja ya kucoment hapa kama uliona uzi huu hauna haja
Nimekushauri tu. Najua kuwa wewe ni mmoja wa wanaJF wanaopenda kurefusha mada zao na kuzitetea hata kama wameandika 'pumba'. Shaurika!
 
Nimekushauri tu. Najua kuwa wewe ni mmoja wa wanaJF wanaopenda kurefusha mada zao na kuzitetea hata kama wameandika 'pumba'. Shaurika!
Huna haja ya kunishauri una majukumu mengi, una kazi ya kuwashauri kina mbowe, pia nawe una ya kushauri??? Hahaha hatari sanaaa
 
Mahakamani jalada mushalifunga na hamtaki kusikia taarifa zozote kuhusu kamanda TL.

Tishio namba moja WA serikal ya Jiwe, TL.
Hahahaha anasikilizwa kama mwananchi mwingine yeyote yule ila sio lazima kila asemalo lifanyiwe kazi tukitaka kufanyia kazi maoni ya mwanchi mmoja mmoja tutakuwa na nchi ya ajabu sana...

Aache kuforce mambo.
 
Nilitegemea ungepangua hoja za lissu kisheria kumbe umedgihirisha wewe ni hovyo.

Vijana wa siku hizi sijui tupoje, hatuna uwezo wa kujadili mijadala kabisaa.

Mkuu tambua watu wanasoma ulicho kiandika, na unachokiandika kinaweza kufanya wengine kutosoma kile unacho andika kutokana na uchangiaji wako.

Chambua hoja kisomi kama umeamua kuanzisha mjadala
 

Ulimuangalia wakili PL Lumumba anavyowasilisha hoja zake kwenye ile kesi ya uchaguzi wa Kenya? uwezi kuitofautisha na uwasilishaji wa Prof Kabudi. Je anayoyawasilisha yana ukweli? au analazimisha watu wayakubali ata kama ni uongo? Ulishakaa ukasikiliza T. Lissu mahakamani? ata Jaji Werema anamjua kwa umakini pale mnapotaka kushindana kwa hoja.
 
Ww una taaluma ya sheria?
 
Duh, hakuna ulijualo wewe umeandika kiushabiki tu. Kabudi hawezi kufanana na Mh Lissu hata mara 1000!!
 
Hahahaha anasikilizwa kama mwananchi mwingine yeyote yule ila sio lazima kila asemalo lifanyiwe kazi tukitaka kufanyia kazi maoni ya mwanchi mmoja mmoja tutakuwa na nchi ya ajabu sana...

Aache kuforce mambo.
Hamna na hamtaweza kusikiliza maoni yake kwa sababu ni tishio kiupande wenu utawezaje kumsikiliza mtu unaemuona ni adui yako.
 
Asante Petro.

Lkn mimi nataka niende nje ya mada kidogo.

Kwanini wanasheria wa humu JF hamtusaidii pale mijadaya ya kisheria inapozuka na kuleta ukakasi kwenye jamii??

Ni uvivu? Uoga? Au kutokujua??
 
Mtu anayebaeili kauli yake kwa kotu kimoja sio msomi wa kusifika. Principle haibadiliki, ukiwa na njaa na ukishiba inabakia vile vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…