Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,178
Reaction score
41,625
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi

Tukubali hapa ni jukwaaa la siasa. Kwa ukongwe wako utagundua kwamba baadhi ya wana JF ukiwauliza wanaamini Lissu ni mtume wa ufahamu. Tufikie hatua tuwaokoe wanaolilia kila leo juu ya ufahamu wa Lissu. Vijana wetu wengi ufahamu ni mdogo na ndo maana unasikia ushabiki ukihama kumfuata mpiga kelele, siyo mwenye ufahamu. Wanamuelewa haraka Lissu na Mange kuliko Marando au Kijo au mwanaharakati yeyote anayetetea mambo ya maisha yao. Hili ni tatizo ktk media zote, hadi huko redioni na TV.

Ukiwasikiliza wahabarishaji ktk vyombo vyao ni aibu tu! Mtu anajadili kwa sura ya kutojua kabisa dunia inavyokwenda na akitoka hapo anaishia kuangalia mechi za ulaya hadi kesho. Je, umejiuliza kwa nini wanamshabikia Lissu kwenye mambo ya uchummi wakati hajui lolote.
 
Kabudi hua haelezi kile anachoulizwa bali hua anaeleza kile anachokijua yeye mwisho wa siku anakuja kuongea vitu mpaka unashangaa rejea mambo ya kuwaambia wabunge wakasome legal anthropology, mara sijui ooh we were in the times when president was president..nigga who asked about all that stick to the point...
 
Wasioelewa watakushukia kwa maneno ya kipumbavu lakini ukweli ndo huo. Lissu hana anachojua zaidi ya kubwabwaja. Ni kati ya wanasheria wa hivyo kuwahi kutokea. Hata bwana mdogo Albert Msando anamtoa kwente reli. Ajitathmini aone kuwa nje ya ulingo wa siasa anacho kitu anaweza kufanya ? He is a bare headed mind in the darkest of ghost.
 
Naandika nafuta,naandika tena nafuta!
Siku njema! Ukitaka kumpinga Lissu uwe na hoja sio presentation na relevance!

Presentation is an aspect of marketing- nothing to do with substance in the law!

And relevance? Man upp!
Relevance to whom?
 
Wasioelewa watakushukia kwa maneno ya kipumbavu lakini ukweli ndo huo. Lissu hana anachojua zaidi ya kubwabwaja. Ni kati ya wanasheria wa hivyo kuwahi kutokea. Hata bwana mdogo Albert Msando anamtoa kwente reli. Ajitathmini aone kuwa nje ya ulingo wa siasa anacho kitu anaweza kufanya ? He is a bare headed mind in the darkest of ghost.
Sure kabisa
 
Onyoshea alichomzidi. Lissu ameleta zaidi ya mara tatu hapa jinsi Kabudi anavyochemka. Akiweka vifungu na tafsiri ya kisheria.

Wewe unapokuja kusma tu kwamba anamzidi bila kuonyesha hata kwa mfano mmoja kwamba anamzidi utakua unaleta blah blah tu kama Kibajaji, Chakubanga na wengune wa aina yako.
 
Nyie watu wa Lumumba toeni hata suala moja tu la Kisheria ambalo Lissu alishindwa kulielezea kisheria!!
Hajui hata katiba ya CHADEMA chama chake sembuse sheria ya nchi? Unapigwa risasi kwa mizengwe unashindwa kuyasoma mazingira?? Risasi inapigwa kulia unaumia kushoto? Then unajiita mwanasheria nguli hujui hata kuchambua mambo??
 
Mkuu britanicca , with due respect, hukuwa na haja ya kuanzisha mada hii hapa JF hata kama ni muanzishaji mzuri na mkongwe wa mada-hata zile zinazokinzana. Hakuna mahali popote ambapo kuna mabishano kuwa ni nani kati ya Prof. Kabudi na Lissu yuko 'vizuri' kuliko mwenzake. Hao ni wanasiasa na wanajibizana kisiasa. Hakika, huna hoja wala hukuwa na haja ya kuanzisha mada hii ambayo inaweza kuishia kumtweza mmoja wa hao. Kama huna hoja, si lazima uanzishe mada. Muda mwingine soma za wenzako!
 
Back
Top Bottom