Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Yaelekea Uwezo wako wa kuchakata mambo ni mdogo. Ivi huoni hapo kawawekea kitanzi mjivike mwenyewe shingoni?

Kwenye kumalizia umeonesha wazi kuwa huwezi kupambanua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliokataa uchunguzi ni wale waliomficha dereva

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan mbowe hawezi kukubali kuchunguzwa, mbowe ni mtu hatari sana kwa Taifa ili
 
Lumumba mnachekesha kweli kwa hiyo ,mbowe ndio akatoa ulinzi ,akatoa CCTV kamera, akakataa Lissu asipatiwe haki yake ya matibabu ,ndio akamwagiza Ndugai azuie mshahara .Ndio akasitisha uchunguzi ,kwa kweli mnajua kujitoa ufahamu .
 
Huo ni bonge la mtego. Mbowe nina hakika yuko tayari hata leo. Hao wengine wawili sasa ndio raha ilipo.
Kama ni kweli huo itakuwa bonge la uchunguzi. Waje hapa M16 wafanye wanavyofanya siku zote, anzia Magufuli, Samia, Majaliwa, Mbowe, Mashinji, Makonda, Musiba....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo wana chadema mnakoma na kupewa vya uso.. huku wa humu..

Nimejua asilimka kubwa nyie sio wanachama hai wa hicho chama, bali ni watu mnaokuja humu kwa ajili vyuma vimekaza kutolea stress zenu za njaa kali.

Wewe hata kuandika hujui ,sasa hiyo elfu saba kwa siku inapotea bure!
 
Huwa mna hoja nyepesi Sana,yaani hii umeianzishia na uzi! Tayari buku 7 imeingia
Alisema hivyo akiwa na maana yoyotr anaye tuhumiwa achunguzwe hata Kama ni Mbowe kwani Mbowe Hana hati miliki ya kuuwa mtu yoyote
Sasa we umekuja kufungua na uzi,too shallow

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hata kuandika hujui ,sasa hiyo elfu saba kwa siku inapotea bure!

Kama unapewa hiyo pesa si ukae kimya.. mie uliniweka wewe humu.. naburudika eti nalipwa wewe kama wenza ni 💀💀💀
 
Akitajwa mbowe kuna watu wanaweza kukuchinja 😀😀 povu mbaya
 
Lisu anataka Scotland Yard FBI maana anajua tayari CCM wametengeneza propaganda za kumbakia kesi mbowe lakini wakija wachunguzi wa kimataifa watasema Ukweli ndiyo maana karuhusu mbowe kwa sababu anajua mbowe hahusiki kabsa
 
Binadamu anayemmiminia binadamu mwenzake risasi 38 hakika si mzima na ukweli ni kwamba aliyemimina risasi kwa sasa anateseka kuliko aliyemiminiwa risasi...kweli Mungu Mkubwa.
kama kulikuwa na sababu ya msingi ya kufanya hivyo nadhani watu wanacheka sasa hivi...
 
Lisu anataka Scotland Yard FBI maana anajua tayari CCM wametengeneza propaganda za kumbakia kesi mbowe lakini wakija wachunguzi wa kimataifa watasema Ukweli ndiyo maana karuhusu mbowe kwa sababu anajua mbowe hahusiki kabsa
Hivi nasisi tunaruhusiwa kwenda kupeleleza kwao?
Kuuliza ni ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…