Hivi nyie vijana wa chama tawala mtaacha lini matusi? matusi hayajengi hoja sana sana yanaonyesha hulka ya mchangiaji ilivyo, tujirekebishe tujenge nchi yetu sote.Mkipuuza tu ushauri wa NCCR-MAGEUZI mtaangukia pua vibaya sana na huyu Malaya wenu.
Mkuu, kosa la TataMadiba ni lipi? Mtu anayeoa wanawake na kuacha anaitwaje, labda utusaidieHivi nyie vijana wa chama tawala mtaacha lini matusi? matusi hayajengi hoja sana sana yanaonyesha hulka ya mchangiaji ilivyo, tujirekebishe tujenge nchi yetu sote.
Nyie endeleeni kuwaabudu SLAA na MBOWE huku wakikifilisi chama, miaka 22 bado makao makuu yako kwenye chumba cha kupanga hamuhoji nuo ufisadi.
Inamaana haujui Makao Makuu ya CCM? Ndiyo maana TataMadiba anawatukana, akili zenu kiufipaufipa tu.Ninyi ccm kwa miaka hiyo hiyo 22 mmejenga makao makuu wapi? Mbona hujitambui?
CCm ni majizi hatuwataki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!, unataka watanzania wasemeje ili muelewe hamtakiwi? Kwenda zenu huko msubiri kulipa mali zetu!
Watanzania wa wapi hao wanaohitaji SLAA?hilo halina ubishi dr slaa ndio tumaini pekee lililobaki kwa watanzania
Kama wewe huoni tatizo wengine tunaona kuna tatizo nafikiri hii inatokana na malezi na makuzi tofati tuliyolelewa.Mkuu, kosa la TataMadiba ni lipi? Mtu anayeoa wanawake na kuacha anaitwaje, labda utusaidie
Inamaana haujui Makao Makuu ya CCM? Ndiyo maana TataMadiba anawatukana, akili zenu kiufipaufipa tu.
Kuna kila dalili kwamba Chadema na vyama washirika vina mpango wa kumsimamisha Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kugombea urais Oktoba mwaka huu.
Dalili hizo zilijitokeza hadharani juzi kutokana na kauli ya Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu aliyoitoa katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Viwanja vya Majengo, Moshi akimtaja Dk Slaa kama ndiye rais ajaye huku akieleza uwezekano wa Ukawa kuchukua nchi.
Lissu alimtaja Dk Slaa na Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo kuwa ndiyo wabunge wa Chadema ambao hawajawahi kushindwa na CCM tangu mwaka 1995.
Historia hiyo itasema mbunge mmoja kati yao (ambao hawajawahi kushindwa na CCM) ni Mzee Ndesamburo na historia hiyo itasema mbunge wa pili ambaye hajawahi kushindwa na CCM ni Dk Willibrod Slaa, rais wetu ajaye, alisema Lissu.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema, alisema katika historia ya Taifa hili kuna uwezekano mkubwa wa Chadema na vyama washirika kuingia Ikulu baada ya Oktoba.
Vyama washirika ambavyo vinaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, vimepanga kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi zote za uchaguzi kuanzia urais hadi udiwani katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Dk Slaa aligombea urais 2010 na kushika nafasi ya pili kwa kupata kura milioni 2.3 sawa na asilimia 26.34 nyuma ya Rais Jakaya Kikwete aliyeshinda kwa kura milioni 5.3 sawa na asilimia 61.17.
Hadi sasa Ukawa haijateua wagombea wake katika ngazi hizo ambazo ni urais, ubunge na udiwani ambao watachuana na wagombea wa vyama vingine.
Chanzo: Mwananchi
SLAA analipwa shilingi ngapi kwa mwezi? Pesa anazojikopesha kila siku zinatoka wapi? Una habari hata kadi cha CHADEMA tu anayezitengeneza ni MBOWE ndiye anajipatia tenda?dr slaa atosha wengine wa ccm wakati wametuibia kila rasilimali
Mama yangu ni malaya wa baba, Mama yako anagongwa na Bwana wa Mshumbusi.
tumia akili wewe,acha kuropoka.dunia hii kila mtu ni kilema mtarajiwaSlaa ni kilema wa mkono na mguu hataweza kukabiliana na changamoto za nchi yetu
Labda watanzania wa Kaskazini na shemeji zake wa Kaishozi.