Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 5,752
- 10,523
Tundu Lissu asipojifunza sasa siku atakapo achiwa huru, kuhusu hali anayopitia sioni kama atajifunza tena.
Asipojifunza aina ya watu wanaopaswa kuwa nyuma yake ni watu wa aina gani hawezi jifunza tena.
Lissu anapigia mbuzi gitaa hali hii inapaswa kuwa funzo kwa lissu hasa anayopitia, Mbuzi ndio wafuasi wanaopaswa kuwa nyuma yake.
Ubaya ni kuwa Lissu ana Ukenya katika nchi ya Watanganyika sioni huo Ukenya wake ukifanya kazi zaidi labda akimbie Tanganyika akaufanyie huo Ukenya wake nje ya Tanganyika hii nayo ni mbinu inaweza kulipa ila kwa Watanganyika huo Ukenya wake hauwezi kufua dafu.
Azory yupo wapi alikuwa na ukenya huyu ndugu leo yupo wapi nani anajali hata kuhusu yeye ?
Soka bwana mdogo alikuwa na Ukenya leo yupo wapi nani anajali kuhusu yeye ?
Mdude naye sumu ya nyigu imebaki historia kwa mkewe na ndugu zake
Lissu akitoka abadili mbinu aache kupigia mbuzi gitaa hawa mbuzi wapo busy kula majani ya simba na yanga, diamond na zuchu, ngono, malaya hawana habari na gitaa lake.
Akikaza kichwa atakuwa anajilisha upepo na atakuwa mjinga wa kisiasa japo sina hakika kama ujinga huo atakuwa kaufikia.
Siasa za Ukenya Tanganyika haziwezi kufanikiwa.
No reforms No Election
Asipojifunza aina ya watu wanaopaswa kuwa nyuma yake ni watu wa aina gani hawezi jifunza tena.
Lissu anapigia mbuzi gitaa hali hii inapaswa kuwa funzo kwa lissu hasa anayopitia, Mbuzi ndio wafuasi wanaopaswa kuwa nyuma yake.
Ubaya ni kuwa Lissu ana Ukenya katika nchi ya Watanganyika sioni huo Ukenya wake ukifanya kazi zaidi labda akimbie Tanganyika akaufanyie huo Ukenya wake nje ya Tanganyika hii nayo ni mbinu inaweza kulipa ila kwa Watanganyika huo Ukenya wake hauwezi kufua dafu.
Azory yupo wapi alikuwa na ukenya huyu ndugu leo yupo wapi nani anajali hata kuhusu yeye ?
Soka bwana mdogo alikuwa na Ukenya leo yupo wapi nani anajali kuhusu yeye ?
Mdude naye sumu ya nyigu imebaki historia kwa mkewe na ndugu zake
Lissu akitoka abadili mbinu aache kupigia mbuzi gitaa hawa mbuzi wapo busy kula majani ya simba na yanga, diamond na zuchu, ngono, malaya hawana habari na gitaa lake.
Akikaza kichwa atakuwa anajilisha upepo na atakuwa mjinga wa kisiasa japo sina hakika kama ujinga huo atakuwa kaufikia.
Siasa za Ukenya Tanganyika haziwezi kufanikiwa.
No reforms No Election