Lissu asimama kizimbani kwa masaa 3:30

Lissu si mchezo,anazidi kuwagalalaza magamba,huyo hawamuwezi kwani hata jaji anamkubali kinoma ila anaona aibu kuifuta kesi kwani ameisha chukua mlungula toka kwa magambaz.

Wanachokifanya magamba ni kumchosha Lissu na kumpotezea muda. Ila kwa vile kesi za uchaguzi zimepangiwa muda maalum/lazima ziishe May, 2012 hii nayo itaisha tu.
 
Back
Top Bottom