Uchaguzi ni tar. 18
Sijajua kuweka link humu lakini nina uhakika na nachosema.
Hiyo tar. 17 kutakuwa na masuala mengine sio uchaguzi
tafadhali usipotee nduguNikimaliza shule nataka niwe police
Sa si utulie ndo uandike mkuu!Nilichojifunza hawamu hii chochote kile ni central tu ila tuwe wakweli Kuna raisi ambaye amesemwavibaya kama Obama au Jk sasa awamu hii atakiiwa umelewa ukafkgvjdkffjdjfjdd unajikutapo Central au mahakamani na no dhamana
wewe kua makin hiyo 999 itakua 666Zile siasa za kipuuzi tunazoziona kule Uganda, Rwanda, Burundi ndizo hizi tulizoletewa.
Huyu mtu si mtanzania
Kosa January, kukamatwa March .................. sasa kama vurugu za kidini si singeshatokea!!?Ametuhumiwa kuongea lugha ya Uchochezi inayoweza kuleta machafuko ya kidini. Anatuhumiwa akiwa Zanzibar alisema uchaguzi wa marudio ulikuwa haramu kama Mwislam kula Nguruwe. Amedhaminiwa na Mawakili Hekima Mwasipu na Nashoni Nkungu, ataenda tena polisi tarehe 13 Machi.
Shtaka
That during by election in Zanzibar which was held couples of months ago he uttered words which were likely to provoke the religious feelings contrary to section 129 penal code!
couples of months have passed and no sign of provoked religious feelings.Shtaka
That during by election in Zanzibar which was held couples of months ago he uttered words which were likely to provoke the religious feelings contrary to section 129 penal code!
Mamlaka ya uteuzi ndo nyenye shida!Kweli poli ccm wamepoteza dira! Kama huo uvunjifu wa amani si ungeshatokea kipindi hicho ? Mwaka mzima umepita wanasema sasa? Aliewatuma hana busara na wao pia wako kama ma robots!!!
Tena? Hivi hawamtaki kujifunza?Ametuhumiwa kuongea lugha ya Uchochezi inayoweza kuleta machafuko ya kidini. Anatuhumiwa akiwa Zanzibar alisema uchaguzi wa marudio ulikuwa haramu kama Mwislam kula Nguruwe. Amedhaminiwa na Mawakili Hekima Mwasipu na Nashoni Nkungu, ataenda tena polisi tarehe 13 Machi.
Shtaka
That during by election in Zanzibar which was held couples of months ago he uttered words which were likely to provoke the religious feelings contrary to section 129 penal code!