Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,639
Mkataa pema, pabaya panamuita.Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.
At the end of the day, wote tutaishia lakini tusijisahaulishe hilo mkuu.Mkataa pema, pabaya panamuita.
P
Kwani Lissu angekubali halafu akagoma kuondoka baada ya kufika nyumbani nini kingetokea?Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.
CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.
Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.
Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.
It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Wakirudi kwenye uchaguzi bila Reforms bado hakuna tijaLakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.
Sikutegemea kwamba na wewe ni chawa, tena chawa mzee. Ninachoona mimi, Lissu keshaamua liwalo na liwe. Lissu si Mbowe!!!Mkataa pema, pabaya panamuita.
P
Tupe sababu ya yeye kuondoka?Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.
CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.
Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.
Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.
It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Mungu ana makusudi na Lissu.Mkataa pema, pabaya panamuita.
P
CHADEMA haikusaini kanuni za maadili ambalo ni takwa la kisheria hivyo HAWAWEZI kushiriki.Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.
CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.
Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.
Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.
It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
kah!Aende wapi na kwao ni singida Tanzania....wakuondoka ni huyo kibibi cha oman
Sorry, huo utakuwa ujinga.Hiyo ni dili. Lissu aondoke nchini. With all due respect, Chadema, what is wrong with that? Lissu aondoke, Chadema ibadilishe mgombea urais.
CCM wanataka Lissu aondoke. Sijui kwa nini wanataka Lissu aondoke. Lakini wanataka Lissu aondoke. Kama ina maana Chadema watarudi kwenye Uchaguzi,hilo nadhani ni wazo zuri.
Anayekataa pazuri,pabaya panamuita.
Time is running out fast. Chadema wafanye uamuzi kuhusu hili.
It is like when Moses rested and Joshua sent the people across the Jordan.
Huko pabaya mtaenda ninyi na Lissu mtamuacha.Mkataa pema, pabaya panamuita.
P