Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,197
- 2,892
Nasubiri majibu hapahapa,siondoki akyamungu.JIBU HIZI HOJA ZA LISU
1. Rais sio mzanzibar?
2. Bandari hazijauzwa?
3. Wamasai hawajahamishwa?
4. Mtanganyika anaweza kumiliki ardh zanzibar?
5. Mtanganyika anaweza kupata nafasi ya uongozi zanzibar?
6. Mtanganyika anaweza kupiga kura zanzibar?
Blue Carbon hawanunui hawanunui ardhi ya Africa, instead Blue Carbon wanafanya trading kwenye Carbon credit business ndani ya Africa.Hii topic ni distraction. Mimi nilitaka kuandika kuhusu jambo lingine.
Lakini 1964,kama TFL ilivunjwa ni kwa sababu iliunga mkono maasi ya Colito Barracks.
Lakini ni kweli anavyosema Tundu Lissu. Samia Suluhu BADO hajachaguliwa na Watanzania kuwa rais. Isipokuwa,Inshallah,anatumaini kuchaguliwa 2025.
Na kwa vile "Rais" Samia hajachaguliwa na watu,anavyouza ardhi ya Watanganyika ni kufuru.
Rais Samia ni kama Lyndon Johnson alivyokula kiapo ndani ya helicopter.
Lyndon Johnson alisubiri baadaye,alipochaguliwa,ndipo akaanza kufanya mambo yake.
Siku ile ile aliyoapishwa akaanza kuihamisha dhahabu ya Fort Knox. Malori ya US Army yakaanza kuiondoa ile dhahabu yakiongozwa na Linda Bird. (Huyu ndiye mke wake Johnson).
Halafu ipo hii Kampuni ya Blue Carbon ya Dubai( ruling family). Inanunua ardhi nyingi sana Afrika,katika nchi tano: Zimbabwe( ambako wamenunua ten percent of the country's land,na Tanzania na Cameroon,and two other countries. Hii Blue Carbon inapigiwa kelele na African Diaspora. Wanauliza kwa nini ndugu zetu wanaiuza Afrika?
Kama Joe Biden,kwa mfano,akigombea urais na kumchagua Kamala Harris kuwa mgombea mwenza,hapo Wamarekani wakimpigia kura Joe Biden itakuwa wanaiona probability( uwezekano mkubwa) wa Kamala Harris kuwa rais.
Sasa pamoja na kubold umeandika makolokocho gani?Hii topic ni distraction. Mimi nilitaka kuandika kuhusu jambo lingine.
Lakini 1964,kama TFL ilivunjwa ni kwa sababu iliunga mkono maasi ya Colito Barracks.
Lakini ni kweli anavyosema Tundu Lissu. Samia Suluhu BADO hajachaguliwa na Watanzania kuwa rais. Isipokuwa,Inshallah,anatumaini kuchaguliwa 2025.
Na kwa vile "Rais" Samia hajachaguliwa na watu,anavyouza ardhi ya Watanganyika ni kufuru.
Rais Samia ni kama Lyndon Johnson alivyokula kiapo ndani ya helicopter.
Lyndon Johnson alisubiri baadaye,alipochaguliwa,ndipo akaanza kufanya mambo yake.
Siku ile ile aliyoapishwa akaanza kuihamisha dhahabu ya Fort Knox. Malori ya US Army yakaanza kuiondoa ile dhahabu yakiongozwa na Linda Bird. (Huyu ndiye mke wake Johnson).
Halafu ipo hii Kampuni ya Blue Carbon ya Dubai( ruling family). Inanunua ardhi nyingi sana Afrika,katika nchi tano: Zimbabwe( ambako wamenunua ten percent of the country's land,na Tanzania na Cameroon,and two other countries. Hii Blue Carbon inapigiwa kelele na African Diaspora. Wanauliza kwa nini ndugu zetu wanaiuza Afrika?
Kama Joe Biden,kwa mfano,akigombea urais na kumchagua Kamala Harris kuwa mgombea mwenza,hapo Wamarekani wakimpigia kura Joe Biden itakuwa wanaiona probability( uwezekano mkubwa) wa Kamala Harris kuwa rais.
SIKU NYINGINE JARIBU KUTAFAKARI KWA KUTUMIA KICHWA.Hii topic ni distraction. Mimi nilitaka kuandika kuhusu jambo lingine.
Lakini 1964,kama TFL ilivunjwa ni kwa sababu iliunga mkono maasi ya Colito Barracks.
Lakini ni kweli anavyosema Tundu Lissu. Samia Suluhu BADO hajachaguliwa na Watanzania kuwa rais. Isipokuwa,Inshallah,anatumaini kuchaguliwa 2025.
Na kwa vile "Rais" Samia hajachaguliwa na watu,anavyouza ardhi ya Watanganyika ni kufuru.
Rais Samia ni kama Lyndon Johnson alivyokula kiapo ndani ya helicopter.
Lyndon Johnson alisubiri baadaye,alipochaguliwa,ndipo akaanza kufanya mambo yake.
Siku ile ile aliyoapishwa akaanza kuihamisha dhahabu ya Fort Knox. Malori ya US Army yakaanza kuiondoa ile dhahabu yakiongozwa na Linda Bird. (Huyu ndiye mke wake Johnson).
Halafu ipo hii Kampuni ya Blue Carbon ya Dubai( ruling family). Inanunua ardhi nyingi sana Afrika,katika nchi tano: Zimbabwe( ambako wamenunua ten percent of the country's land,na Tanzania na Cameroon,and two other countries. Hii Blue Carbon inapigiwa kelele na African Diaspora. Wanauliza kwa nini ndugu zetu wanaiuza Afrika?
Kama Joe Biden,kwa mfano,akigombea urais na kumchagua Kamala Harris kuwa mgombea mwenza,hapo Wamarekani wakimpigia kura Joe Biden itakuwa wanaiona probability( uwezekano mkubwa) wa Kamala Harris kuwa rais.
Ana shida gani na uandishi huyu ndugu Poppy HatonnPoppy Hatonn = Andrew Nyerere = Mtoto wa kwanza wa Julius K. Nyerere
Huyu uandishi wake ndivyo ulivyo. Hoja zake huwa hazina logical sequence/coherence/conclusion. Hoja zake huwa zina hang. Kwa hiyo hapo inabidi ujiongeze ili kumwelewa. Kuna baadhi humu wanamwita "genius".Ana shida gani na uandishi huyu ndugu Poppy Hatonn
Basi ma genius watufanyie wepesi na sisi wa kawaida tuelewe.Huyu uandishi wake ndivyo ulivyo. Hoja zake huwa hazina logical sequence/coherence/conclusion. Hoja zake huwa zina hang. Kwa hiyo hapo inabidi ujiongeze ili kumwelewa. Kuna baadhi humu wanamwita "genius".
duh maana yake ni supercalifragilisticexpialidocious... tamka hilo neno kwanza
Bandari haijauzwa, ni propaganda ya wafuatao:1: Wenye kampuni za miaka zaid ya 30 za clearing and forwarding agent:2:Karamagi na kampuni yake ya TX kwa, ajili ya kuondolewa pale:4:Waliokuwa, wananufaika na mfumo mbovu wa, bandarini.JIBU HIZI HOJA ZA LISU
1. Rais sio mzanzibar?
2. Bandari hazijauzwa?
3. Wamasai hawajahamishwa?
4. Mtanganyika anaweza kumiliki ardh zanzibar?
5. Mtanganyika anaweza kupata nafasi ya uongozi zanzibar?
6. Mtanganyika anaweza kupiga kura zanzibar?
Hawezi kukujibu bila shaka.JIBU HIZI HOJA ZA LISU
1. Rais sio mzanzibar?
2. Bandari hazijauzwa?
3. Wamasai hawajahamishwa?
4. Mtanganyika anaweza kumiliki ardh zanzibar?
5. Mtanganyika anaweza kupata nafasi ya uongozi zanzibar?
6. Mtanganyika anaweza kupiga kura zanzibar?
Blue Carbon hawanunui hawanunui ardhi ya Africa, instead Blue Carbon wanafanya trading kwenye Carbon credit business ndani ya Africa.
Wanakuja wanapanda misitu na kui-maintain ili kufidia Carbon emissions inayofanywa na UAE. Wafaidika ni sisi Watanzania kwa kufanyiwa maboresho ya kupandiwa miti hivyo kuboresha mazingira.
Mbona biashara ya Carbon credit iko wazi tu. Kuna Halmashauri tatu nchini zimekuwa zikipata Mabilioni ya Tsh kutokana mfuko wa Carbon duniani ikiwapo wilaya ya Tanganyika huko mkoa wa Katavi
Utasubiri sana mkuu. Genius GZA (geezer) wa JF mistari yake siyo wengi wanaielewaBasi ma genius watufanyie wepesi na sisi wa kawaida tuelewe.
Akikujib unitagJIBU HIZI HOJA ZA LISU
1. Rais sio mzanzibar?
2. Bandari hazijauzwa?
3. Wamasai hawajahamishwa?
4. Mtanganyika anaweza kumiliki ardh zanzibar?
5. Mtanganyika anaweza kupata nafasi ya uongozi zanzibar?
6. Mtanganyika anaweza kupiga kura zanzibar?