Lissu ameibeba CHADEMA mgongoni

Lissu ameibeba CHADEMA mgongoni

Ni dhahiri kabisa kuwa uhai wa Chadema unategemea mbeleko ya Lisu pekee.

Na pia ni jambo lililowazi kuwa Njia pekee ya kumpatia Lisu umaarufu ni uwepo wa mashtaka dhidi yake au kwa yeyote alimradi aende mahakamani.

Bila mahakama Lisu hana hoja wala ushawishi wowote. Nje ya mahakama ni kama samaki nje ya maji; hafurukuti, hana ujanja wala mbinu ya kusurvive.

Hivyo Bila kesi; hakuna lisu wala Chadema.

Chadema imebaki kupata umaarufu wa msimu kwa kutegemea kupanda kwa Lisu mahakamani.

Je? mbeleko hii itaweza kuibeba Chadema mpaka lini? tusubiri na kuona.
Kuna shida gani Lissu akikibeba chama? Yeye si mwanachama?

Hivi Bashite bado upo tu? Huachi uzumbukuku?

Vp Rais wenu anayewaza na kuwaamulia kila kitu?
 
Kama.kaibeba INA kuuma nini??Mwambie Makonda aibebe CCM basi.
hili ni anguko kubwa sana toka chama kikuu cha upinzani mpaka chama kinachotegemea kusikika kupitia kesi zinazosimamiwa na mwanachama wake.
 
hiyo anaachia mijitu inayotumia tumbo kufikiri

Ni kama Wizara ya Michezo mlivyo.uachia yule jamaa yenu ambaye hakumbuki hata Jana aliongea nini?Au ndiyo kufikiria kwa tumbo kule??
 
Kuna shida gani Lissu akikibeba chama? Yeye si mwanachama?

Hivi Bashite bado upo tu? Huachi uzumbukuku?

Vp Rais wenu anayewaza na kuwaamulia kila kitu?
Chadema hawafanyi pressconference mpaka Lisu atoke mahakamani.
 
hili ni anguko kubwa sana toka chama kikuu cha upinzani mpaka chama kinachotegemea kusikika kupitia kesi zinazosimamiwa na mwanachama wake.

Ni bora hicho kuliko chama kinachoshindwa kuongoza kinategemea kuwafungulia Wapinzani kesi mpaka kimefika mahali kina kula pesa za wafiwa aka rambirambi.

Chama Cha Mauaji,kilichokuwa na dira sasa hivi ndiyo chama kikubwa kabisa cha wapiga deal kuanzia na Mwenyekiti wake.
 
Chadema hawafanyi pressconference mpaka Lisu atoke mahakamani.

Kukutana tu Viongozi wa Chadema kutoa pole tu mmekimbilia Polisi,wakisema Mkutano mtafanyaje??

Poor Chama Cha Mauaji,mpaka kimekuwa hoi kinategemea rambirambi sasa poleni sana.Mnazika lini huyo Chama Cha Maiti aliyoachwa na JKN??
 
Hii inamaanisha demokrasia iko juu tz

Ni kweli iko juu hasa pale unapoona watumishi wa Umma wenye dhamana wanapeleka Mahabusu hata Viongozi wa dini kisa Kutaka kuomba Rambirambi za wafiwa.. Poor CCM
 
Chadema hawafanyi pressconference mpaka Lisu atoke mahakamani.
Hata ikiwepo mnakuwa mmeshawapa vitisho vya kutosha.

Nasikia mwenyekiti wenu kabadili katiba apite bila kupingwa 2020? Huyu chama amekibebea kwapani au mapajani?
 
Ni kweli iko juu hasa pale unapoona watumishi wa Umma wenye dhamana wanapeleka Mahabusu hata Viongozi wa dini kisa Kutaka kuomba Rambirambi za wafiwa.. Poor CCM
Kiongozi wa dini hayuko juu ya sheria
 
Hata ikiwepo mnakuwa mmeshawapa vitisho vya kutosha.

Nasikia mwenyekiti wenu kabadili katiba apite bila kupingwa 2020? Huyu chama amekibebea kwapani au mapajani?
Kama kubadilisha katiba imebadilishwa siku nyingi
 
Ni dhahiri kabisa kuwa uhai wa Chadema unategemea mbeleko ya Lisu pekee.

Na pia ni jambo lililowazi kuwa Njia pekee ya kumpatia Lisu umaarufu ni uwepo wa mashtaka dhidi yake au kwa yeyote alimradi aende mahakamani.

Bila mahakama Lisu hana hoja wala ushawishi wowote. Nje ya mahakama ni kama samaki nje ya maji; hafurukuti, hana ujanja wala mbinu ya kusurvive.

Hivyo Bila kesi; hakuna lisu wala Chadema.

Chadema imebaki kupata umaarufu wa msimu kwa kutegemea kupanda kwa Lisu mahakamani.

Je? mbeleko hii itaweza kuibeba Chadema mpaka lini? tusubiri na kuona.
Kwahiyo?
 
Kiongozi wa dini hayuko juu ya sheria

Kwa hiyo Mkuu wa Mkoa ndiyo yuko juu ya Sheria??

Niambie wapi kwenye Katiba yetu au Sheria yetu unasema ukienda kutoa pole ni kosa la jinai??

Ni wapi palipoandikwa mpokeaji rambirambi ni Mkuu wa Mkoa??

Tanzania yetu sote,kama ilivyo kwa CCM ni haki kukutana na kuongea basi haki hiyo IPO kwa Watanzania wote bila kujali dini,kabila au itikadi zao.

Kuweni na akili japo za kuingia Chumvi kwenye mboga.
 
Ni dhahiri kabisa kuwa uhai wa Chadema unategemea mbeleko ya Lisu pekee.

Na pia ni jambo lililowazi kuwa Njia pekee ya kumpatia Lisu umaarufu ni uwepo wa mashtaka dhidi yake au kwa yeyote alimradi aende mahakamani.

Bila mahakama Lisu hana hoja wala ushawishi wowote. Nje ya mahakama ni kama samaki nje ya maji; hafurukuti, hana ujanja wala mbinu ya kusurvive.

Hivyo Bila kesi; hakuna lisu wala Chadema.

Chadema imebaki kupata umaarufu wa msimu kwa kutegemea kupanda kwa Lisu mahakamani.

Je? mbeleko hii itaweza kuibeba Chadema mpaka lini? tusubiri na kuona.
Nikiri kuwa mimi ni mmojawapo ambaye ningependa kuona upinzani wenye nguvu kwa mustakabali mwema wa nchi yetu.
Maelezo yako yana ukweli ndani yake ingawa inategemea zaidi unaangalia kutokea pembe gani.Kwa mtu wa CCM wa kawaida hii kauli yako ni ya kufurahisha na kutia moyo,"Adui yuko mbendembende" lakini kwa mtu anayetafakari na kuiangalia dunia miaka ishirini ijayo ni lazima awe na wasiwasi.Anakuwa na wasiwasi kwa sababu kwa mwenendo huu atakuwa haoni mwisho mwema kwa jamii yake.Nianze,

Hali halisi ya siasa za vyama vingi imebadilika katika awamu hii kwa kuwa utawala uliopo si wapenzi wa mfumo wa vyama vingi.Hii imedhihirishwa rasmi na matamko mbalimbali ambayo hayana sababu ya kuyarejea hapa.

Jambo la pili ni hulka ya kiongozi mkuu ambayo ndiyo hasa inayo potray utawala uliopo,kufurahia maumivu ya watu wake.Kwa hulka ya namna hii litakuwa jambo la uendawazimu kwa mfano kufanya hata maandamano ya amani kwani ni dhahiri damu itamwagika tu na tunashukuru hilo wapinzani wameliona na wametuepusha nalo.

La tatu ni Chama tawala kumuogopa kiongozi Mkuu kiasi cha kuwa tayari hata kushirikiana naye katika jambo ambalo ni wazi hawaafikiani nalo.

Kwa ufupi ni kuwa si kwamba vyama vya upinzani au mawazo mbadala yamekwisha lakini mawazo hayo utayatoa kwa nani kwa njia ipi wakati tayari kuna viashiria vya wazi (ndani ya bunge na kwingineko)?

Kwa wale wanaoangalia mbali ni kuwa ikiwa vyama vya upinzani vinakuwa kimya mawazo mbadala yatatoka kwa njia gani?
Si jambo la kufurahia kwa vyama vya upinzani kuwa kimya.
 
Ni dhahiri kabisa kuwa uhai wa Chadema unategemea mbeleko ya Lisu pekee.

Na pia ni jambo lililowazi kuwa Njia pekee ya kumpatia Lisu umaarufu ni uwepo wa mashtaka dhidi yake au kwa yeyote alimradi aende mahakamani.

Bila mahakama Lisu hana hoja wala ushawishi wowote. Nje ya mahakama ni kama samaki nje ya maji; hafurukuti, hana ujanja wala mbinu ya kusurvive.

Hivyo Bila kesi; hakuna lisu wala Chadema.

Chadema imebaki kupata umaarufu wa msimu kwa kutegemea kupanda kwa Lisu mahakamani.

Je? mbeleko hii itaweza kuibeba Chadema mpaka lini? tusubiri na kuona.
hayo uliyoyaandika yatapu gunza ukali wa maisha hu mtaani au yatapunguza bei ya unga. tunataka unafuu wa maisha mambo ya lisu ma chadema tupa kule
 
Lieu hata mkoa wake WA Singida ameshindwa angalau uonekane nao una upinzani. Jimbo lake miaka yote hua anapata Diwani 1 au 3 kwa hana nguvu kisiasa
Kashindwa kuchukua halamashauri jimboni kwake
 
Back
Top Bottom