Lissu ameibeba CHADEMA mgongoni

Lissu ameibeba CHADEMA mgongoni

Ngoja cc tunaokula rambirambi na kufoji vyeti tukae kimya, hayatuhusu...
 
ila mmechokaa..., hata unavyoandika nauona uchovu huo...., tutaelewana tu
 
Ni kama CCM haina pesa tena inaishia kukaba kwenye rambirambi.
Nimeshtuka, eti kuna MTU kasema kukatika kwa daraja LA reli pale Ruvu na kugundulika mapema kabla ya treni ya Kigoma kupita kumewasikitisha Lumumba maana kingekuwa chanzo kikuu cha mapato
 
Tunamshukuru Mungu kwa kutuepusha na majanga siku mbili Tatu mpaka CCM wameweza kupata muda wa kuandika upuuzi Kama huu wakati muda Kama huu wangekuwa wako kujadili jinsi ya kupiga rambirambi za wafiwa.
 
Nimeshtuka, eti kuna MTU kasema kukatika kwa daraja LA reli pale Ruvu na kugundulika mapema kabla ya treni ya Kigoma kupita kumewasikitisha Lumumba maana kingekuwa chanzo kikuu cha mapato
Mwaka huu tutaogopa hata kununua mboga za majani zenye rangi ya kijani na njano kama mambo yenyewe ndo haya. Nitakula kabeji tu.
 
Nimeshtuka, eti kuna MTU kasema kukatika kwa daraja LA reli pale Ruvu na kugundulika mapema kabla ya treni ya Kigoma kupita kumewasikitisha Lumumba maana kingekuwa chanzo kikuu cha mapato

Yawezekana kuwa kweli maana tunaona trend ya Majanga yanavyochukuliwa.Ndipo mahali pa kupatia pesa za uchaguzi 2020 maana hazina auditing hizo
 
Back
Top Bottom