Lissu abadili upepo UDOM

Mtahengerwa nina wasiswasi na uwezo wako kiakili.Serikali ya JK inafanya upumbavu mwing sana katika kuijenga hii nchi.Wasomi wa vyuo vikuu ni watu tunaowategemea wakihitimu taaluma zao waje tuijenge nchi pamoja.Leo Ikulu inatengewa bilioni 10 kuikarabati,halafu wanvyuo wananyanyasika bado unashabikia uozo.Amka ndugu yangu ccm iantupeleka siko.Ni mchango tu.
 
Naomba tuweke mambo sawa kuhusu hizi vurugu vyuoni,hivi kama serikari ingetoa pesa kwa ajili ya kusomesha wanafunzi vyuoni,ikalipa pesa kwa ajili ya kufanyia mafunzo kwa vintendo,ikalipia vitabu nk.kuna mwanafunzi yeyote mwenye akili timamu akapata hamu ya kugoma?
Tusiongelee ushabiki ukweli ni kwamba wanafunzi wanakosa vitu vyao vya msing wakiwa chuoni na kukosa mtetezi wa kweli maana wanaojiita ni watetezi wamejaa siasa tu.hivyo akitokea mtu au chama kuonyesha njia mbadala lazima watawasikiliza na kuwapokea na hata kurudisha kadi.
Leo hii umeme ni bonge la tataizo atokee mtu na njia mbadala ya kupata umeme hatasikilizwa au kupendwa na wananchi?Tufanye kazi na tuache visingizio.
 
mtu mwenyewe ndo kwanza unajiunga....bahati mbaya huna hata hodi!!!!! unaingia hadi chumbani...ukikuta......! we acha hizo.cdm wanawafumbua macho wananchi......kama wanafunzi wanagoma basi ni kwa sababu sasa wamejua haki zao. na kwa vile chama chako ccm hakishughulikii matatizo ya wananchi mpaka migomo...ndio maana wanagoma. kwani tucta, vyuo vikuu vingine, nk. ambao hugoma mara kwa mara hushawishiwa na cdm? acha ukondoo wako..........
 
Mleta mada ametuhadaa au ameleta kisahabiki.Kichwa cha habari na yaliyomo ni tofauti .I expect kwamba baada ya Lissu kuongea basi kuna kitu kilijitokeza like confession nk lakini sioni hili .UPepo upi umebadilika huko UDOM sasa .
 
Ukweli ni kwamba chadema ndio wanaoleta vurugu vyuoni.kwanini kama kweli wanawapenda hao vijana kwa nini wasiwafundishe kukaa kwa amani hapo chuo?.hivi kweli cdm mnawajenga hawa vijana au mnawatumia kukidhi haja zenu za kisiasa?.Kama kweli mnawajenga kwa nini msiwasaidie kutatua migogoro yao kwa njia ya amani kuliko mnavyowachochea wakafanya vurugu na kufukuzwa vyuoni na wakaenda kutaabika mitaani?
am sorry!! hivi jamaa anayekushikia akili yako hajakurudishia!!??
 
hao loan board wamelala tu na mishahara wanachukua, Serikali itafute jinsi ya kuwasaidia wanafunzi maana uwezekano wa kukusanya hayo wanayoita madeni pia ni mgumu. nitakulipaje deni la million wakati hata shillingi kumi siipati.
 
Back
Top Bottom