Liquor store ni kitu gani?

Liquor store ni kitu gani?

Bongo zamani wanachukua leseni ya duka, wanaliita grocery na walitakiwa kuuza pombe za kuchukua nyumbani wakaaanza kupanga viti na kuuzia hapo hapo.

Mpaka serikali ikaingilia kupiga marufuku sababu zilikuwa ndani ya makaazi ya watu na kujaza walevi.
Mara wakaanza kuita Pub, na leo hii hizi liquor store ilitakiwa kuchukua pombe kwenda nyumbani lakini bado wanapanga viti nje kujaza walevi
 
bongo zamani wanachukua leseni ya duka, wanaliita grocery na walitakiwa kuuza pombe za kuchukua nyumbani wakaaanza kupanga viti na kuuzia hapo hapo, mpaka serikali ikaingilia kupiga marufuku sababu zilikuwa ndani ya makaazi ya watu na kujaza walevi.
Mara wakaanza kuita Pub, na leo hii hizi liquor store ilitakiwa kuchukua pombe kwenda nyumbani lakini bado wanapanga viti nje kujaza walevi
Kumbe!! Nilikuwa najiuliza mbona grocery store ni maduka ya bidhaa za nyumbani, inakuwaje sehemu wanauza pombe wanaita grocery! Umenipa elimu.
 
aisee swali gani la kitoto hivi ambalo hata mtoto wa form 2 anajua jibu lake...labda kama una hoja nyingine iseme ila sio kuuliza liqour store ni nini?ni sawa na mtu akuulize duka la sapre za pikipiki ni kitu gani?
 
aisee swali gani la kitoto hivi ambalo hata mtoto wa form 2 anajua jibu lake...labda kama una hoja nyingine iseme ila sio kuuliza liqour store ni nini?ni sawa na mtu akuulize duka la sapre za pikipiki ni kitu gani?
kuuliza sio ujinga
hasa ukizingatia hizo liquor store zimegeuzwa kuwa kama bar na wateja wanakaa hapo na kunywa huku ni kinyume na sheria za leseni ya liquor store
 
kuuliza sio ujinga
hasa ukizingatia hizo liquor store zimegeuzwa kuwa kama bar na wateja wanakaa hapo na kunywa huku ni kinyume na sheria za leseni ya liquor store
Huwaga na bei kitonga sana ni kama duka la jumla kwaiyo wengi wanakaa hapo ni kitonga cha bei kuliko bar
 
aisee swali gani la kitoto hivi ambalo hata mtoto wa form 2 anajua jibu lake...labda kama una hoja nyingine iseme ila sio kuuliza liqour store ni nini?ni sawa na mtu akuulize duka la sapre za pikipiki ni kitu gani?
Si ajabu hata wewe hujui liquor store ni kitu gani(in practical terms)?
 
Back
Top Bottom