Wanatumia muda mwingi kujipodoa kuliko kujiosha.Mdada anapiga kipodozi , anajikarabati hadi anajiharibu, lakini bado anatoa harufu.
Ivi inakuaje??.
Halafu kuna mavipodozi wakipaka mm huwa natapikaga!si waoge tu wajipake Rays au Vaseline mbona watapendeza tu.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us