Profesa yuko sahihi. Hii ni hatua ya kwanza na ya muhimu. Bado hatua ya pili, ambayo ni kuwaelekeza wabunge wake cha kufanya.Lipumba hapo atuweke sawa, spika na magamba hawana tatizo na vyama vya upinzani, wanatatizo na chadema, ye anaongea kwenye media wakat wabunge wake wameridhika na kinachoendelea mjengoni