Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba, amesema kwamba yanayotokea Bungeni ni matokeo ya KITI cha Spika kufanya upendeleo waziwazi, kwa kuwakandamiza Wabunge wa Upinzani!!
Alisema ni Vigumu sana Bungeni kuwepo utulivu kama kiti cha Spika kitaendelea kuwaonea Wabunge wa Upinzani!!
Source: Gazeti la Nipashe
Alisema ni Vigumu sana Bungeni kuwepo utulivu kama kiti cha Spika kitaendelea kuwaonea Wabunge wa Upinzani!!
Source: Gazeti la Nipashe