Elections 2010 Lipumba hatendewi haki?

Mdau

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,789
470
Wadau, najaribu kufuatilia coverage ya mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba...swali ni kwamba, je, hastahili kuonyeshwa au kundikwa kweye magazeti kama wenzake?? Haki sawa kwenye vyombo vya habari ipo wapi sasa??
 
Wadau, najaribu kufuatilia coverage ya mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba...swali ni kwamba, je, hastahili kuonyeshwa au kundikwa kweye magazeti kama wenzake?? Haki sawa kwenye vyombo vya habari ipo wapi sasa??

Nadhani hajaanza kampeni!
 
Ameanza aisee, nasikia yupo kanda ya kusini..
 
Wadau, najaribu kufuatilia coverage ya mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba...swali ni kwamba, je, hastahili kuonyeshwa au kundikwa kweye magazeti kama wenzake?? Haki sawa kwenye vyombo vya habari ipo wapi sasa??
Huwezi kuwalazimisha waandishi kuandika habari zisizouzika.
 
Huenda anaongozana na mgombea wa CCM maana sera zao zafanana!
CCM imegawanyika kwenye makundi 6 ya kampeni, kwanza la JK pili la Bilal tatu la Salma(WAMA) nne la Lipumba tano la Seif(Zanzibar) na sita la Shein, kwa hiyo Lipumba akiona coverage yeyote ya CCM na yake imo(inclusive).
 
lipumba ameanza kampeni na amejitahidi sana kwenda maeneo husika, kizuri zaidi gazeti mtanzania daima limempa coverage ya kutosha, tatizo ni kwamba watu wamechoka na the same old story ya njemba moja inashindwa kila wakati mpaka imemaliza zinc
 
Hivi sera zake 1995 na 2010 zinatofautiana nini? maana otherwise are the same old story; Obama alishinda maana vyombo vya habari vililazimishwa kuandika habari zake la sivyo havinunuliwi wala kutangaziwa wala kuangalia; na hichyo naanza kuona News media imeshaanza kugundua; ukiandika habari za JK; Lipumba hayatoki; Dr Slaa is rocking; ndio maana watalam wanaona si muda utaona mabadiliko ya mitazamo ya watu kwa kulazimishwa na upepo wa mazingira maana kila mtu anahitaji mabadiliko ila alikuwa hajapata ampe nani na sasa amepatikana
 
Hivi shahada yangu iko wapi...dr.slaa huna haja ya kunipigia kampeni
 
Nadhana Lipumba amefanya kosa kubwa na historia itamhukumu. Baada ya attempts zote 3 hakuwa na sababu ya msingi kuweka jina. Angekuwa amejiunga na wapambanaji kumpigia debe rais mtarajiwa (Dr WPS) angalau angeambulia walau coverage ya kukumbwa na mafuriko. Sasa amejipeleka mwenyewe nje ya mkondo wa maji, anategemea nini? Hata hivyo hajachelewa. He can remake his minds and join the fighters. Vinginevyo watoto wa mjini watamuonyesha ni kiasi gani amefulia.

Hivi Lipumba akigombea hata ubunge ataupata kweli?
 
Nadhana Lipumba amefanya kosa kubwa na historia itamhukumu. Baada ya attempts zote 3 hakuwa na sababu ya msingi kuweka jina. Angekuwa amejiunga na wapambanaji kumpigia debe rais mtarajiwa (Dr WPS) angalau angeambulia walau coverage ya kukumbwa na mafuriko. Sasa amejipeleka mwenyewe nje ya mkondo wa maji, anategemea nini? Hata hivyo hajachelewa. He can remake his minds and join the fighters. Vinginevyo watoto wa mjini watamuonyesha ni kiasi gani amefulia.

Hivi Lipumba akigombea hata ubunge ataupata kweli?[/QUOTE]
Hapo kwenye nyekundu inabidi mkuu urejee maneno ya Mkapa 2005 aliposema NA NYIE NANI KAWAAMBIA MTEUE WAGOMBEA WENYE SURA KAMA MAJAMBAZI kwa mtaji huo nadhani jamaa ajipumzishe tu maana hata huo ubunge hataupata
 
aisee, aisee...Mheshimiwa Prof, huwa unaingia hata JF kweli???
 
Back
Top Bottom