Habari kutoka ndani ya jopo la waamuaji wa kesi ya Liyumba zinasema kwamba Lipumba hana kesi ya kujibu. Hii ilikuwa inategemewa kama ilivyo kesi ya Mramba and company.
kwa mtu yoyote anayejua corporate governance, hahitaji hata wakili kushunda kesi alyoshitakiwa liyumba au akina mramba, watashinda tu. kumbuka naibu gavana alivyojiumauma katika ushahidi wake.
mawakili wa liyumba wanacheza na tricks za corporate governance tu
Katika marekebisho ya sheria kumi na tatu yaliyopitishwa na bunge, aliyoyafanya State Attoney hakuna sgeria zitakazowabana wahujumu uchumi hawa wa kesi ya BOT na EPA pia akina mRamba.??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.