Leo asubui alikuwa tbc akizungumzia mambo mbalimbali kuhusu uchumi na ya chama chake cha cuf. Kati ya meengi aliyozungumza ni hili alisema kwamba Mwalim Julius K Nyerere alitabiri kwamba chama cha cuf hakitakaa kife. Je? wazee wa kale maneno haya ya profesa no 1 duniani kwa uchumi ni ya kweli?.
Nawasilisha.
Nawasilisha.