mwenyekiti wa Cuf Prof Lipumba hivi sasa akimaliza kuwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Tanga waliojitokeza kumsikiliza katika mkutano wa kuwashukuru wakazi wa mji wa tanga kwa kumchagua diwani wa cuf katika kata ya msambweni, ambapo aliwasili jana saa 10 na kupokewa na umati mkubwa wa wakazi wa tanga ambapo alifanya kazi ya kufungua matawi zaidi ya 50 na leo kufanya mkutano mkubwa wa hadhara ambao haujawahi kutokea,