Lipumba anafaa kuwa waziri mkuu!

Lipumba anafaa kuwa waziri mkuu!

Nyie subirini2 kitakachotokea, cuf wantaka lipumba awe rais k2 ambacho chadema hawawez kubali miaka80000000, na hicho kichwa co cha PM wala wazir wa fedha, na katiba ya 77 iko wazi, sema sas hao ukawa kama hawatatambua hlo cjui wataacha kulitambua wakiwa wapi.
 
Mnapotoa mapendekezo pia muwe mnafahamu katiba ya JMT inasemaje, Vinginevyo hili litakuwa sio jukwaa la GTs.

**** mtu mwingine aliwahi ku propose kwamba Lipumba awe mgombea mwenza wa Dr. Slaa or vice versa. This is a wishful thinking. Under our constituttion this CAN NOT HAPPEN. Ni sawa na kuomba mbingu na dunia zishikamane.

Turudi kwenye topic yetu ya Lipumba kuwa WM. Katiba ya JMT ya mwaka 1977 inaelekeza jinsi ya kumpata WM (Waziri Mkuu)

Ibara 51 (1) - (2). Rais Mteule atamteua Mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la uchaguzi kutokana na chama cha siasa chenye wabunge wengi zaidi kuwa WM wa JMT. Naye hatashika madaraka hayo mpaka uteuzi wake uwe umethibitishwa na bunge.

Nini maana yake
  1. Ili Lipumba awe WM, kwanza lazima awe mbunge wa kuchaguliwa
  2. Ili Lipumba awe WM, lazima CUF iwe na wabunge wengi bungeni kuliko vyama vingine vya siasa

Baada ya kufahamu hayo naomba sasa uje tujadiliane!
Hilo neno nililoliweka rangi nyekundu halistahili kuwepo hapo!
 
Lipumba hata ubalozi wa nyumba kumi hafai, labda awe padri kama Slaa
 
Back
Top Bottom