Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 11,842
- 18,100
Ni ukweli usiopingika kuwa Tanzania inahitaji waziri mkuu imara katika serikali ijayo! Mtu ambaye anaweza kusimamia nidhamu ya watendaji wa serikali na uchumi wa nchi! Mtu ambaye atapandisha heshima ya serikali kitaifa na kimataifa!
Hivyo kwa hitaji hili muhimu, UKAWA wana kila sababu ya kumshawishi Mhe. Lipumba agombee ubunge ili Rais ajaye kutoka UKAWA aweze kumteua kuwa waziri mkuu wa Tanzania!
Mungu ibariki Tanzania!
Hivyo kwa hitaji hili muhimu, UKAWA wana kila sababu ya kumshawishi Mhe. Lipumba agombee ubunge ili Rais ajaye kutoka UKAWA aweze kumteua kuwa waziri mkuu wa Tanzania!
Mungu ibariki Tanzania!