Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 137,676 Reaction score 272,523 Oct 27, 2019 #1 Huyu mtu aliyoyafanya nchi hii hamkutakiwa kumruhusu kutia pua uwanjani .
kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 7,761 Reaction score 14,477 Oct 27, 2019 #2 Erythrocyte said: View attachment 1246630 Huyu mtu aliyoyafanya nchi hii hamkutakiwa kumruhusu kutia pua uwanjani . Click to expand... Huku usoni sijui anapaka mafuta Gani,duu halafu kaishiwa angalia hivyo viatu,duu angalia hiyo tshirt,duu hiyo suruali
Erythrocyte said: View attachment 1246630 Huyu mtu aliyoyafanya nchi hii hamkutakiwa kumruhusu kutia pua uwanjani . Click to expand... Huku usoni sijui anapaka mafuta Gani,duu halafu kaishiwa angalia hivyo viatu,duu angalia hiyo tshirt,duu hiyo suruali
Innovator97 JF-Expert Member Joined Dec 19, 2017 Posts 282 Reaction score 397 Oct 27, 2019 #3 Lipumbuwise
B BEHOLD JF-Expert Member Joined Nov 17, 2013 Posts 5,056 Reaction score 10,729 Oct 27, 2019 #4 Du! Magufuli amkumbuke huyu Mzee sasa! Ukila pesa ya CCM lazima uishie vibaya wallah..
Dive JF-Expert Member Joined Mar 7, 2013 Posts 903 Reaction score 1,527 Oct 27, 2019 #5 Mwacheni mzee wa watu ajichanganye angalau afurahie maisha kidogo
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 137,676 Reaction score 272,523 Oct 27, 2019 Thread starter #6 kimbendengu said: Huku usoni sijui anapaka mafuta Gani,duu halafu kaishiwa angalia hivyo viatu,duu angalia hiyo tshirt,duu hiyo suruali Click to expand... Ohoooo !!
kimbendengu said: Huku usoni sijui anapaka mafuta Gani,duu halafu kaishiwa angalia hivyo viatu,duu angalia hiyo tshirt,duu hiyo suruali Click to expand... Ohoooo !!
Turnkey JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 7,358 Reaction score 5,843 Oct 27, 2019 #7 Mikia mechi moja chaliii..mwacheni profeseli afurahie maisha
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 45,751 Reaction score 55,791 Oct 27, 2019 #8 Kwani walikuwa na matumaini ya kushinda Leo?
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 137,676 Reaction score 272,523 Oct 27, 2019 Thread starter #9 mjingamimi said: Kwani walikuwa na matumaini ya kushinda Leo? Click to expand... mbele ya mil 100 ushindi ulikuwa wazi kabisa
mjingamimi said: Kwani walikuwa na matumaini ya kushinda Leo? Click to expand... mbele ya mil 100 ushindi ulikuwa wazi kabisa
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 45,751 Reaction score 55,791 Oct 27, 2019 #10 Walikuwa wanacheza na mabilioni ya shilingi Sio Kazi ndogo.tuwaombeeni wakienda misri wafungwe tatu tu
Walikuwa wanacheza na mabilioni ya shilingi Sio Kazi ndogo.tuwaombeeni wakienda misri wafungwe tatu tu
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Oct 27, 2019 #11 Huyu baba si aoe binti mdogo ili amuweke soft usoni amuoni mwenzie kapuya kwa Sasa Kawa kijana.
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,204 Reaction score 69,729 Oct 27, 2019 #12 Kumbe Alikuwa Ccm Kirumba Yanga Na Mamluki Wao Lipumba Wanahaha
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 137,676 Reaction score 272,523 Oct 27, 2019 Thread starter #13 Hawachi said: Huyu baba si aoe binti mdogo ili amuweke soft usoni amuoni mwenzie kapuya kwa Sasa Kawa kijana. Click to expand... ππππ
Hawachi said: Huyu baba si aoe binti mdogo ili amuweke soft usoni amuoni mwenzie kapuya kwa Sasa Kawa kijana. Click to expand... ππππ
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,204 Reaction score 69,729 Oct 27, 2019 #14 Hawachi said: Huyu baba si aoe binti mdogo ili amuweke soft usoni amuoni mwenzie kapuya kwa Sasa Kawa kijana. Click to expand... Huyu Professor Haruhusiwi Kula Vitu Vitamu, Unadhani Miaka Yote Hiyo Angeoa
Hawachi said: Huyu baba si aoe binti mdogo ili amuweke soft usoni amuoni mwenzie kapuya kwa Sasa Kawa kijana. Click to expand... Huyu Professor Haruhusiwi Kula Vitu Vitamu, Unadhani Miaka Yote Hiyo Angeoa
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Oct 27, 2019 #15 Erythrocyte said: ππππ Click to expand... Kwanza mwenye namba yake anipatie haiwezekani mchumi kama huyu awe chakavyu kiasi hikiππππ
Erythrocyte said: ππππ Click to expand... Kwanza mwenye namba yake anipatie haiwezekani mchumi kama huyu awe chakavyu kiasi hikiππππ
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Oct 27, 2019 #16 Erythrocyte said: View attachment 1246630 Huyu mtu aliyoyafanya nchi hii hamkutakiwa kumruhusu kutia pua uwanjani . Click to expand... Duh!!
Erythrocyte said: View attachment 1246630 Huyu mtu aliyoyafanya nchi hii hamkutakiwa kumruhusu kutia pua uwanjani . Click to expand... Duh!!
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Oct 27, 2019 #17 Hawachi said: Kwanza mwenye namba yake anipatie hawezekani mchumi kama huyu awe chakavyu kiasi hikiππππ Click to expand... πππ
Hawachi said: Kwanza mwenye namba yake anipatie hawezekani mchumi kama huyu awe chakavyu kiasi hikiππππ Click to expand... πππ
Hawachi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2018 Posts 12,010 Reaction score 54,201 Oct 27, 2019 #18 myoyambendi said: πππ Click to expand... Huku umekuja kufanya nini mpendwa nenda kule ukatembeze like πππ
myoyambendi said: πππ Click to expand... Huku umekuja kufanya nini mpendwa nenda kule ukatembeze like πππ
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Oct 27, 2019 #19 Hawachi said: Huyu baba si aoe binti mdogo ili amuweke soft usoni amuoni mwenzie kapuya kwa Sasa Kawa kijana. Click to expand... duh!!
Hawachi said: Huyu baba si aoe binti mdogo ili amuweke soft usoni amuoni mwenzie kapuya kwa Sasa Kawa kijana. Click to expand... duh!!
myoyambendi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2013 Posts 174,792 Reaction score 721,062 Oct 27, 2019 #20 Hawachi said: Huku umekuja kufanya nini mpendwa nenda kule ukatembeze like πππ Click to expand... Napita tu jiraniππ
Hawachi said: Huku umekuja kufanya nini mpendwa nenda kule ukatembeze like πππ Click to expand... Napita tu jiraniππ